Abdulrahman Kinana: CHADEMA wamelipwa ruzuku kiasi cha Billion 2.7

Abdulrahman Kinana: CHADEMA wamelipwa ruzuku kiasi cha Billion 2.7

Kama yanamanufaa kwa Nchi Kwanini mbowe asiyaseme?, Mnatetea Jambo ambalo linajitetea... Kama chama kipo kwa maslah ya umma kulikuwa na haja gani wasiweke wazi yaliyojadiliwa? ... CCM hawawezi kuweka wazi tunajua, mbowe kwann asiyaweke wazi na ndani ya chama n yeye tu ndio anayajua kwann?.



Kwani kabla chama sikilikataa kuchukua ruzuku kwa serikali ambayo haikushinda uchaguzi?, Taarifa zakuanza kuchukua ruzuku zimetolewa lini?.

Kwa taarifa yako huo Uzi wa cdm kukiri kuwa wamelipwa malimbikizo ya ruzuku Yao uko humu humu, na watu tuliponda sana hayo maridhiano uchwara. Na mmoja ya watu waliokiri kulipwa hayo malimbikizo ya ruzuku ni Tundu Lisu kwenye kipindi Cha medani za siasa kinachorushwa na Star TV.
 
Siri imefichuka kupitia maridhiano Serikali iliwalipa Chadema ruzuku kiasi cha shilingi bilioni 2.7 waliyoikataa ndani ya miaka mitatu! Huku taarifa ya fedha hizo ikiwa siri ya viongozi kwa wanachama wakiendelea kuchangishwa michango ya hapa na pale.

Sababu za Chadema kukaa kimya hazijabainika ni kwanini ila tuna uhakika fedha hizi zimepigwa na wachache bila taarifa kuwasilishwa kwenye kamati kuu pamoja na wanachama wengine kufahamu hizi Pesa zilikwisha kutolewa na Serikali.

Jambo la kushangaza zaidi wakati Chadema ikipokea kiasi hiki cha fedha chama hiki walikusanya michango kutoka kwa wananchi katika Operesheni iliyopewa jina la Join the Chain huku hesabu ya zilikusanywa kiasi gani hazikuwekwa hadharani.

kuna taarifa za ndani kuwa ruzuku hizi wamezigawana kwa wanachama wachache ndani ya Chadema na wengine kukopeshana bila taarifa yoyote ya wazi majina ya viongozi waliokopeshwa sehemu ya ruzuku hizo ni kama ifuatavyo;

1. Mbowe
2. Lissu
3. Heche
4. Mnyika
5. Lema
6. Wenje

Viongozi hawa kwa wakati tofauti wamepokea sehemu ya fedha hizo huku wanachama wakiendelea kuchangishwa michango katika mikutano ya hadhara kila chama kinapofanya mikutano.

Acheni wizi wa ruzuku na kuchangisha wanachama!
 
Siri imefichuka kupitia maridhiano Serikali iliwalipa Chadema ruzuku kiasi cha shilingi bilioni 2.7 waliyoikataa ndani ya miaka mitatu! Huku taarifa ya fedha hizo ikiwa siri ya viongozi kwa wanachama wakiendelea kuchangishwa michango ya hapa na pale.

Sababu za Chadema kukaa kimya hazijabainika ni kwanini ila tuna uhakika fedha hizi zimepigwa na wachache bila taarifa kuwasilishwa kwenye kamati kuu pamoja na wanachama wengine kufahamu hizi Pesa zilikwisha kutolewa na Serikali.

Jambo la kushangaza zaidi wakati Chadema ikipokea kiasi hiki cha fedha chama hiki walikusanya michango kutoka kwa wananchi katika Operesheni iliyopewa jina la Join the Chain huku hesabu ya zilikusanywa kiasi gani hazikuwekwa hadharani.

kuna taarifa za ndani kuwa ruzuku hizi wamezigawana kwa wanachama wachache ndani ya Chadema na wengine kukopeshana bila taarifa yoyote ya wazi majina ya viongozi waliokopeshwa sehemu ya ruzuku hizo ni kama ifuatavyo;

1. Mbowe
2. Lissu
3. Heche
4. Mnyika
5. Lema
6. Wenje

Viongozi hawa kwa wakati tofauti wamepokea sehemu ya fedha hizo huku wanachama wakiendelea kuchangishwa michango katika mikutano ya hadhara kila chama kinapofanya mikutano.

Acheni wizi wa ruzuku na kuchangisha wanachama!
Mmeuza Ardhi,Bandari.........
 
Chadema wamelipwa Tsh Bilioni 2.7 kama ruzuku

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Kinana amedai moja kati ya masharti ambayo waliomba CHADEMA ni kulipwa ruzuku yao ya miaka 3.

Kinana amesema ombi hilo lilikuwa gumu kutokana na ruzuku hutokana na bajeti ya serikali katika mwaka husika.

Kinana amesema ingawa ilikuwa ngumu Rais Samia aliagiza pesa hiyo itafutwe ili walipwe.
Umeulizwa na nini?

Katiba mpya , pamoja na ombi la CDF.
Tunakukumbusha kuwa CDF amekubip
 
Huu uchaguzi ndio umewaingiza viongozi wa sasa

Viongozi wa Sasa wako madarakani kwa uchaguzi wa kihayawani, ni cdm ni wahanga wakubwa wa uchaguzi ule. Ama unadhani kuchukua hiyo Suzuki ni kukubaliana na uhuni ule?
 
Wewe akili huna ulishawahi sikia ccm wanatangaza kiasi cha ruzuku wanachopata in public?

Unataka watangaze ili iweje? Embu muwe mnajadili mambo ya msingi bwana

Nchi haina umeme
Nauli zimepanda

Sukari na bidhaa nyingine bei juu
Wewe badala ya kujadili yote haya unajadili ruzuku ambayo wala haikuathiri moja kwa moja?
Kama mazuzu
 
Ama unadhani kuchukua hiyo Suzuki ni kukubaliana na uhuni ule?
Kama hamkubali uchaguzi bc na ruzuku msikubali mana haiwezekani ukatae mimba afu uje umkubali mtoto
 
Kama tungejua mapato na matumizi ya CCM wengi tungeshiliki maandamano ya CDM .
 
Wote wezi wachumia tumbo CCM na CDM. Ni hivi tu CDM hawajapata nafasi. ACT wametulia. CDM wakipewa nafasi huku Tanzania bara serikalini nao watatulia kama ACT.
 
Siri imefichuka kupitia maridhiano Serikali iliwalipa Chadema ruzuku kiasi cha shilingi bilioni 2.7 waliyoikataa ndani ya miaka mitatu! Huku taarifa ya fedha hizo ikiwa siri ya viongozi kwa wanachama wakiendelea kuchangishwa michango ya hapa na pale.

Sababu za Chadema kukaa kimya hazijabainika ni kwanini ila tuna uhakika fedha hizi zimepigwa na wachache bila taarifa kuwasilishwa kwenye kamati kuu pamoja na wanachama wengine kufahamu hizi Pesa zilikwisha kutolewa na Serikali.

Jambo la kushangaza zaidi wakati Chadema ikipokea kiasi hiki cha fedha chama hiki walikusanya michango kutoka kwa wananchi katika Operesheni iliyopewa jina la Join the Chain huku hesabu ya zilikusanywa kiasi gani hazikuwekwa hadharani.

kuna taarifa za ndani kuwa ruzuku hizi wamezigawana kwa wanachama wachache ndani ya Chadema na wengine kukopeshana bila taarifa yoyote ya wazi majina ya viongozi waliokopeshwa sehemu ya ruzuku hizo ni kama ifuatavyo;

1. Mbowe
2. Lissu
3. Heche
4. Mnyika
5. Lema
6. Wenje

Viongozi hawa kwa wakati tofauti wamepokea sehemu ya fedha hizo huku wanachama wakiendelea kuchangishwa michango katika mikutano ya hadhara kila chama kinapofanya mikutano.

Acheni wizi wa ruzuku na kuchangisha wanachama!
kwenye pesa hao jamaa wanastahili PHd za heshima kwakweli 🤣
 
Hela ambayo ingeenda kumalizia bwawa la mwl nyerere ili mgao wa umeme uishe wanaenda kupewa chadema!
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Omari Kinana amedai Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kililipwa Tsh. Bilioni 2.7 ikiwa ni malipo ya ruzuku ya miaka mitatu kutoka Serikalini, mchakato ambao ulifanyika wakati wa mazungumzo ya maridhiano baina ya CCM na CHADEMA.

Amesema “Ruzuku inapitia katika Bajeti ya Serikali na ikishapita haipatikani tena lakini Rais (Samia Suluhu) akaagiza Serikali kutafuta utaratibu wa kuwalipa na wakasema mkitupa hizo hela itakuwa mwanzo mzuri wa kutambuana, wakalipwa lakini hawakuwahi kusema japo madai yao yalikuwa yamepitwa na wakati.”

 
Chadema wamelipwa Tsh Bilioni 2.7 kama ruzuku

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Kinana amedai moja kati ya masharti ambayo waliomba CHADEMA ni kulipwa ruzuku yao ya miaka 3.

Kinana amesema ombi hilo lilikuwa gumu kutokana na ruzuku hutokana na bajeti ya serikali katika mwaka husika.

Kinana amesema ingawa ilikuwa ngumu Rais Samia aliagiza pesa hiyo itafutwe ili walipwe.
Ndio maana Lissu alikuwa anagalagala Ivory Coast kwenye Afcon
 
Maana yake mmewanunua ili wawe mazuzu sababu za ruzuku ambayo haki yao kisheria ? Mwisho wa Kinana kufikiri ndio hapo ?
Issue ni kwamba waliigomea kuichukua hiyo ruzuku hadharani,sasa wameichukua kimyakimya,ndicho ambacho Mzee Kinana anatujuza ili tuelewe rangi halisi ya CHADOMO,kosa lake ni lipi?
 
Back
Top Bottom