Abdulrahman Kinana: CHADEMA wamelipwa ruzuku kiasi cha Billion 2.7

Abdulrahman Kinana: CHADEMA wamelipwa ruzuku kiasi cha Billion 2.7

Chadema wamelipwa Tsh Bilioni 2.7 kama ruzuku

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Kinana amedai moja kati ya masharti ambayo waliomba CHADEMA ni kulipwa ruzuku yao ya miaka 3.

Kinana amesema ombi hilo lilikuwa gumu kutokana na ruzuku hutokana na bajeti ya serikali katika mwaka husika.

Kinana amesema ingawa ilikuwa ngumu Rais Samia aliagiza pesa hiyo itafutwe ili walipwe.
Je hela hizo zilikuwa halali yao au laah ?
 
Kwenye siasa hakuna good guys wala villains. Usiamini wanasiasa wala kuwawekea dhamana.
 
Acha kujitoa ufahamu weee pimbi, mtu wa kwanza kutamka kuwa tumepokea ruzuku ni mh Lissu mwezi March 2023, akaulizwa katibu mkuu Mnyika akakiri kuwa ndiyo wamepokea sasa ni nn kinakufanya uwe pimbi kiasi hicho???
Shida ya wake za Mbowe hamtaki kusikia jina la mme wenu!?
 
Yaani sipati picha mtu na mkwewe watavyotafuna hizo pesa.
Hamna chama hapo
 
JAMAA WAMEPOKEA FEDHA NA WAKAKAA KIMYA, HAWAKUTAKA NYUMBU ZILIGUNDUE HILI SUALA LA FEDHA, MH. KINANA KAARIBU ULAJI WA VIONGOZI, KAMA SIO KINANA, NYUMBU ZISINGE FAHAMU LOLOTE, HATA HIVYO RUZUKU HIYO SIYO HAKI YAO MAANA WANAMWAKILISHI MMOJA TU BUNGENI, AIDHA KWA KUIPOKEA KUNATAFSIRI AKINA HALIMA MDEE NI WANACHAMA HAI NDANI YA CHADEMA.
Konyagi zitawakoma!
 
Kama hamkubali uchaguzi bc na ruzuku msikubali mana haiwezekani ukatae mimba afu uje umkubali mtoto
Narudia tena , hizo hela sio za hayo majizi ya kura. Huenda unadhani ni mishahara ya hao waliopora uchaguzi.
 
Hivyo Katiba inaendelea kuburuzwa kwa mara nyingine tena.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Omari Kinana amedai Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kililipwa Tsh. Bilioni 2.7 ikiwa ni malipo ya ruzuku ya miaka mitatu kutoka Serikalini, mchakato ambao ulifanyika wakati wa mazungumzo ya maridhiano baina ya CCM na CHADEMA.

Amesema “Ruzuku inapitia katika Bajeti ya Serikali na ikishapita haipatikani tena lakini Rais (Samia Suluhu) akaagiza Serikali kutafuta utaratibu wa kuwalipa na wakasema mkitupa hizo hela itakuwa mwanzo mzuri wa kutambuana, wakalipwa lakini hawakuwahi kusema japo madai yao yalikuwa yamepitwa na wakati.”
CCM huwa inatangaza wamepokea ruzuku kiasi gani ? Acha siasa za mqji taka wewe elephants Dr
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Omari Kinana amedai Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kililipwa Tsh. Bilioni 2.7 ikiwa ni malipo ya ruzuku ya miaka mitatu kutoka Serikalini, mchakato ambao ulifanyika wakati wa mazungumzo ya maridhiano baina ya CCM na CHADEMA.

Amesema “Ruzuku inapitia katika Bajeti ya Serikali na ikishapita haipatikani tena lakini Rais (Samia Suluhu) akaagiza Serikali kutafuta utaratibu wa kuwalipa na wakasema mkitupa hizo hela itakuwa mwanzo mzuri wa kutambuana, wakalipwa lakini hawakuwahi kusema japo madai yao yalikuwa yamepitwa na wakati.”
Mhuni mwingine. JPM aliikoa simba, twiga, tembo, pundamillia, chui wetu kutoka kwa wahuni kama huyu.
 
IMG_8491.jpg


kwa hiyo walijua hela ikipokelewa mazungumzo yatakuwa yamefika nwisho? Jinga sana hela ni tofauti na mazungumzo au ilikuwa hongo?

Hizo hela sio hisani we msomali?

Waseme ili iweje?

Ccm ruzuku yao mbona haijawahi semwa wanapokea kiasi gani?

Takataka kabisa huyo gaid mstaafu
 
Back
Top Bottom