Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii si bure bali kuna jambo.

Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.

CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.

Uzanzibari na uzanzibara ni petrol katika moto unaofukuta.

Wanamchekea Bi. Mkubwa ila sidhani kama wanampenda na wanapenda 2025 arudi ofisini.

Kwa madaraka makubwa ya kikatiba na yale ya ndani ya chama, akikomaa atavuka, ila watu wanaweza ku-defect dakika za mwisho na kumuweka katika mazingira magumu unless akumbatie kundi linalotajwa kumpinga na kutaka uraisi.

Amkumbatie sana JK walau anaeweza kumsaidia kutuliza hali ya mtambo iwapo yatatokea ya kutokea.

Jinsia nayo ni tatizo lingine. na ukiongeza na tuhuma za kutapanya maliasili za watanganyika, naiona hatari kubwa sana mbele yake.

Muda utaongea.
Mtajiuliza mengi tu, lakini usahihi ni kuwa Kinana siku nyingi sana anataka kupumzika.
 
RAIS SAMIA Asirudi nyuma, asilegeze kamba, Wala asitishike.

Najua Kinana kafanya hivi Kwa sababu ya Akina MAKAMBA na NAPE.

Lkn pia ni wazi KINANA, NAPE ,MAKAMBA wako kwenye ule mnyororo wa ndoto za MAKAMBA KUA RAIS.


Rais asitishike.


Inawezekana kabisa kabisa Taifa limepata HEAD OF SPY makini, mzalendo na mfia Nchi
Oooh!! Kumbe huko Tz kazi ya Head of Spy ndio hiyo. Maskini Tz yangu
 
Nini? Rudia tena! Laiti ungejua hata mzee wa Msoga yuko kwenye hili kundi. Infact mgogoro ni Samia vs Kikwete.
Najua hilo ila Kikwete ndio anaweza amua kuunga mkono Samia au watu wake na kuna sababu za kwanini amkatae Samia au amuunge mkono. Samia sio smart sana hajawahi kuwa na watu wake wa kuwaamini, yeye anapewa watu anabeba.

Kama intelligence ingekuwa na uwezo wa crandestine operations basi hata Kikwete ange.... ila sasa huo uwezekano ni mdogo sana. Hawa kina Kinana wangekuwa na nguvu kidogo.
 
Hii siyo mara ya kwanza Komredi Kinana Kujiuzulu.

Alishajiuzulu wakati wa Magufuli lakini akarejea tena kwa Cheo kikubwa zaidi zama hizi za Mpendwa Wetu Mwenyekiti Mh Dr Samia

Sasa Amejiuzulu na anaweza kurejea tena au Ndio anastaafu kama Mzee Tingatinga? 😃

Mlale Unono 😀😀
 
Makanali wastaafu wamebakiza mtu mmoja tu kwenye ubavu wa mama lakini pia bado wanamshawishi au kwa lugha sahihi wanamtaka Ridhiwan abwage manyanga haraka.
Wastaafu wanataka wapigane kutokea nyuma kuelekea mbele kwa kutumia mbinu ya kijeshi inayoitwa blitzkrieg hapo 2025.
Wanamdanganya Ridhiwani
 
Hii si bure bali kuna jambo.

Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.

CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.

Uzanzibari na uzanzibara ni petrol katika moto unaofukuta.

Wanamchekea Bi. Mkubwa ila sidhani kama wanampenda na wanapenda 2025 arudi ofisini.

Kwa madaraka makubwa ya kikatiba na yale ya ndani ya chama, akikomaa atavuka, ila watu wanaweza ku-defect dakika za mwisho na kumuweka katika mazingira magumu unless akumbatie kundi linalotajwa kumpinga na kutaka uraisi.

Amkumbatie sana JK walau anaeweza kumsaidia kutuliza hali ya mtambo iwapo yatatokea ya kutokea.

Jinsia nayo ni tatizo lingine. na ukiongeza na tuhuma za kutapanya maliasili za watanganyika, naiona hatari kubwa sana mbele yake.

Muda utaongea.
Huwa nasikia mtaani wakisema, vipi ndugu ikitokea wakangombana, I chukua jembe kalime.
 
Hii si bure bali kuna jambo.

Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.

CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.

Uzanzibari na uzanzibara ni petrol katika moto unaofukuta.

Wanamchekea Bi. Mkubwa ila sidhani kama wanampenda na wanapenda 2025 arudi ofisini.

Kwa madaraka makubwa ya kikatiba na yale ya ndani ya chama, akikomaa atavuka, ila watu wanaweza ku-defect dakika za mwisho na kumuweka katika mazingira magumu unless akumbatie kundi linalotajwa kumpinga na kutaka uraisi.

Amkumbatie sana JK walau anaeweza kumsaidia kutuliza hali ya mtambo iwapo yatatokea ya kutokea.

Jinsia nayo ni tatizo lingine. na ukiongeza na tuhuma za kutapanya maliasili za watanganyika, naiona hatari kubwa sana mbele yake.

Muda utaongea.
Pia kuna body language ya Waziri Mkuu, ukimtazama anapozungumza kiwiliwili hakioani na kichwa hata kama anajitutumua kufoka.

Dk. Mpango yeye alishajimazia zake siku nyingi na kukomaa na sala na maombi
 
Back
Top Bottom