Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Kuna shida sehemu.
Hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna shida sehemu.
Mtajiuliza mengi tu, lakini usahihi ni kuwa Kinana siku nyingi sana anataka kupumzika.Hii si bure bali kuna jambo.
Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.
CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.
Uzanzibari na uzanzibara ni petrol katika moto unaofukuta.
Wanamchekea Bi. Mkubwa ila sidhani kama wanampenda na wanapenda 2025 arudi ofisini.
Kwa madaraka makubwa ya kikatiba na yale ya ndani ya chama, akikomaa atavuka, ila watu wanaweza ku-defect dakika za mwisho na kumuweka katika mazingira magumu unless akumbatie kundi linalotajwa kumpinga na kutaka uraisi.
Amkumbatie sana JK walau anaeweza kumsaidia kutuliza hali ya mtambo iwapo yatatokea ya kutokea.
Jinsia nayo ni tatizo lingine. na ukiongeza na tuhuma za kutapanya maliasili za watanganyika, naiona hatari kubwa sana mbele yake.
Muda utaongea.
Oooh!! Kumbe huko Tz kazi ya Head of Spy ndio hiyo. Maskini Tz yanguRAIS SAMIA Asirudi nyuma, asilegeze kamba, Wala asitishike.
Najua Kinana kafanya hivi Kwa sababu ya Akina MAKAMBA na NAPE.
Lkn pia ni wazi KINANA, NAPE ,MAKAMBA wako kwenye ule mnyororo wa ndoto za MAKAMBA KUA RAIS.
Rais asitishike.
Inawezekana kabisa kabisa Taifa limepata HEAD OF SPY makini, mzalendo na mfia Nchi
Bora nipewe Mimi, huyu chama kianguka kitongaItakuwa yaleyale yaliyotokea awamu iliyopita yamejirudia tena,hata hivyo naamini Mzee Pinda atachukua mikoba.
Hakuna habari nyingine zaidi ya hiyo mkuu 'salary'.Hii si bure bali kuna jambo.
Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika
Najua hilo ila Kikwete ndio anaweza amua kuunga mkono Samia au watu wake na kuna sababu za kwanini amkatae Samia au amuunge mkono. Samia sio smart sana hajawahi kuwa na watu wake wa kuwaamini, yeye anapewa watu anabeba.Nini? Rudia tena! Laiti ungejua hata mzee wa Msoga yuko kwenye hili kundi. Infact mgogoro ni Samia vs Kikwete.
Acha hizo wewe.Watu wenye vipara ni tatizo.
Kasoro JPM.
Born town anaangalia Future ya mtoto wake hawezi tena kufuata mkumboAfanye nini ili ujue yuko pamoja na watoto wa miaka ya 70 jumlisha comrade? He's a Mr. Born town, always plays undercover while mastering the plan
Wanamdanganya RidhiwaniMakanali wastaafu wamebakiza mtu mmoja tu kwenye ubavu wa mama lakini pia bado wanamshawishi au kwa lugha sahihi wanamtaka Ridhiwan abwage manyanga haraka.
Wastaafu wanataka wapigane kutokea nyuma kuelekea mbele kwa kutumia mbinu ya kijeshi inayoitwa blitzkrieg hapo 2025.
Huwa nasikia mtaani wakisema, vipi ndugu ikitokea wakangombana, I chukua jembe kalime.Hii si bure bali kuna jambo.
Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.
CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.
Uzanzibari na uzanzibara ni petrol katika moto unaofukuta.
Wanamchekea Bi. Mkubwa ila sidhani kama wanampenda na wanapenda 2025 arudi ofisini.
Kwa madaraka makubwa ya kikatiba na yale ya ndani ya chama, akikomaa atavuka, ila watu wanaweza ku-defect dakika za mwisho na kumuweka katika mazingira magumu unless akumbatie kundi linalotajwa kumpinga na kutaka uraisi.
Amkumbatie sana JK walau anaeweza kumsaidia kutuliza hali ya mtambo iwapo yatatokea ya kutokea.
Jinsia nayo ni tatizo lingine. na ukiongeza na tuhuma za kutapanya maliasili za watanganyika, naiona hatari kubwa sana mbele yake.
Muda utaongea.
Pia kuna body language ya Waziri Mkuu, ukimtazama anapozungumza kiwiliwili hakioani na kichwa hata kama anajitutumua kufoka.Hii si bure bali kuna jambo.
Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.
CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.
Uzanzibari na uzanzibara ni petrol katika moto unaofukuta.
Wanamchekea Bi. Mkubwa ila sidhani kama wanampenda na wanapenda 2025 arudi ofisini.
Kwa madaraka makubwa ya kikatiba na yale ya ndani ya chama, akikomaa atavuka, ila watu wanaweza ku-defect dakika za mwisho na kumuweka katika mazingira magumu unless akumbatie kundi linalotajwa kumpinga na kutaka uraisi.
Amkumbatie sana JK walau anaeweza kumsaidia kutuliza hali ya mtambo iwapo yatatokea ya kutokea.
Jinsia nayo ni tatizo lingine. na ukiongeza na tuhuma za kutapanya maliasili za watanganyika, naiona hatari kubwa sana mbele yake.
Muda utaongea.
Nami nimeuliza Amejiuzulu au Amestaafu?Hivi kweli Kinana amejiuzulu au kuna mambo hayako sawa na samia, makamba . Nape hilo ni Bumunda tu johnthebaptist