Yaan hipo hivi, huyu mzee yupo kwenye kundi la January Makamba kumfanyia figisu mama. Kwa mujibi wa taarifa ya kigogo, wajumbe wengine kwenye kundi hilo ambalo lilitaka Kipara awe makamu wa Rais mwaka, 2025 yupo, Adams Malima,Kinana .Hii si bure bali kuna jambo.
Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika
Ilikuwa lazima mzee huyu ajiuzulu tu kwa kuwa amegundulika kwenye uhaini huo.Na amelazimishwa kujiuzulu kwa kuwa ni msaliti.