Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ficha ujinga wako. Labda kama ni mgeni sana wa siasa za nchii ndo unaweza kuandika huu ujinga.
Inawezekana wewe ndio mjinga kwa kukariri, ulimbukeni au ujuaji wa London-New York -Brussels back to Dar. Ila kichani mwako ni kakariri tu hata hujisubui kutafakar. Totally Western brainwashed low mind. Hiki kitu ndicho kinasumbua sana nchi masikini za kiafrika.
 
Kuna dalili ya wazi ya Katiba mpya, huyu alikuwa kikwazo
 
Bado mtoto sana wa siasa za nchi hii.
 
Kwa uma au Kwa ccm? !!!
 
Mbona ume panic?
 
Mpasuko wa wazi kabisa huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…