Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Marope pia aliyasema hayo live
 
Who knows, usishangae Lukas Mwashambwa au FaizFoxy anauramba umakomo Mwenyekiti wa CCM, maana siku hizi UCHAWA unalipa sana.
Aaah siyo mambo yangu hayo kabisa. Hata ukatibu kata siuwezi.
hata raisi atapumzika pia na kumkabidhi P.Mpango (PhD) muda si mrefu, kila kitu kimepangwa wana-check boxes tu …
Mafao ya kufa mtu.

Raha mustarehe.
 
Ficha ujinga wako. Labda kama ni mgeni sana wa siasa za nchii ndo unaweza kuandika huu ujinga.
Mjinga ni wewe, huyo JK alishakata pumzi kabisa..... JK hana nguvu yoyote ndani ya CCM sana sana ni samaki tu asiyeweza ishi nje ya maji.
 
Kuna yule pastor alitabiri mpasuko mkubwa ndani ya ccm naona yametimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…