Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umezoea ka-ndefundefu siyoMbona kahabari kafupi hivi mkuu?
Bado Watoto! Nafasi hiyo ni ya waliopevukaApewe Nape au January
Watabakije wakati mipango imeharibika,,,,mtu wao wakumtengenezea njia ya urais ndo hivyo tena,,,,kwa sasa wazuri wanakufaKwanini wakati huu ??
Mpinzani CCM anaweza pata nafasi ya MweneziM
Msigwa anakuwa Makamu Mwenyekiti
nchi hii kila kitu kinawezekanaMpinzani CCM anaweza pata nafasi ya Mwenezi
Three The Hardway 🐼Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amemwandikia barua ya kuomba kupumzika...
Huyu jamaa yeye ni wakuombaga kujiuzulu tu sasa mnamjwekaga awasaidie niniMwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amemwandikia barua ya kuomba kupumzika...
tunamsubiri mark-morgan toka sauzi atoe mwongozoTunazika au tunasafirisha?
InashangazaHuyu jamaa yeye ni wakuombaga kujiuzulu tu sasa mnamjwekaga awasaidie nini