Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakiwa karefu utalalamika😎Mbona kahabari kafupi hivi mkuu?
Mikakati hiyo...Dahhhh! Kuna shida pahala
Amemaliza kazi aliyotumwa.View attachment 3056347
Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amemwandikia barua ya kuomba kupumzika.
Katika majibu yake Mwenyekiti wa CCM amesema "Ni kweli nilipokuomba utusaidie kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti nilikuahidi utakaa muda mfupi kama ulivyoomba, na kwa kweli nilipenda uendelee kutusaidia lakini kwa kuwa umeomba sana na ahadi ni deni nalazimika kwa moyo mzito kuridhia kujiuzulu kwako".
Pia Mwenyekiti wa CCM amesisitiza kuwa Chama kitaendelea kutumia uzoefu na maarifa ya Ndugu Kinana kila vitakapohitajika.
Chama Cha Mapinduzi kinamshukuru Ndugu Abdulrahman Kinana kwa mchango wake mkubwa kwa Chama chetu.
View attachment 3056339
Naona team kubwa la wabaya wsmeunganaYule mzee mlezi wa vijana watukutu kaamua kubwaga manyanga na kuambatana na wanawe.
Habari ndiyo hiyo
AaahahaaaYule mzee mlezi wa vijana watukutu kaamua kubwaga manyanga na kuambatana na wanawe.
Habari ndiyo hiyo
Hajaforciwa na mama kweli kulinda heshima ya utumishi wake?Yule mzee mlezi wa vijana watukutu kaamua kubwaga manyanga na kuambatana na wanawe.
Habari ndiyo hiyo
One term presidentSamia Atatoboa kweli ?! Let see and wait
KIkosi hakijakamilika bila namba moja wa awamu ya nne.Makamba (baba, mtoto)
Nape
Kinana
Hawa wanajuana sana ni kundi moja
Kama ni mpasuko umetokea CCM kwetu ni habari njema
Nakumbuka baada ya mtawala mwanamke nchi itaenda upinzani. TusubiriUtabiri wa sheikh Yahaya utatimia soon
Mmoja wa hao vijana ndiye anakuja kukamata hiyo nafasiYule mzee mlezi wa vijana watukutu kaamua kubwaga manyanga na kuambatana na wanawe.
Habari ndiyo hiyo