Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
CCM wote wezi tuSasa ile ICD yake aliyokua analazimisha watu wapeleke mizigo kwake ndio itakuwaje??
Father of Bashe and all other Somalis .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM wote wezi tuSasa ile ICD yake aliyokua analazimisha watu wapeleke mizigo kwake ndio itakuwaje??
Father of Bashe and all other Somalis .
Daaah ndo maana walikomaa awe Rais ili ikifika 2025 wampige pichi ila inaonesha ngoma ni nzito sana!In msoga voice "labda mambo yakiaribika sana" naona mambo ndo hayo yameshaanza kuparanganyika
Kwani britanicca anasemaje kuhusu hili?Yule mzee mlezi wa vijana watukutu kaamua kubwaga manyanga na kuambatana na wanawe.
Habari ndiyo hiyo
Aaaaa wapi!!Ukiona moshi, jua kuna moto, ngoja niingie kwenye chumba cha babu nikaangalie.
Labda wametolewa ili wawe huru zaidi kusuka ushindi wakiwa gizani
Sasha awe makini kuliko kipindi kingine chochote kileInaonekana ndani ya CCM Hali SI shwari SASHA anawindwa.
Yaweza kuwa laana ya wanung'ung'unikao kwa matendo yao,waombwe radhi maisha yaendelee.Hii si bure bali kuna jambo.
Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.
CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.
Team ya fitina imekamilika sasa😄😄Naona Mzee kinana akienda kuungana na wale Vijana wawili katika Pre-season ya uchaguzi
Huyo wao ndo huwa wanamng'ang'ania.....hata JPM alimramba mkono baadae ilivyokaribia uchaguzi akarudishwaHajaforciwa na mama kweli kulinda heshima ya utumishi wake?
Naomba nirudie,,,, Samia akitoboa 2025 nitajisaidia uwanja wa MkapaHii si bure bali kuna jambo.
Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.
CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.
Mkubwa na wanawe
Hiviii?? Ahaaaa .kipindi Cha Jpm ni kweli walisema ni mshamba!! Basi sawaUle "utatu" umeondoka tena rasmi. Wawili kwa kutumbuliwa, mmoja kwa kujiuzulu....
Nakumbuka mwaka 2017 baada ya Nape vuvuzela bumunda kufukuzwa uwaziri zilianza tetesi kwamba Kinana amesusa kufanya kazi ya ukatibu mkuu. Na kweli baada ya hapo alikuwa haudhurii vikao vingi vya kamati kuu na halmashauri kuu kwa taarifa kwamba anamuuguza mtoto wake India au yeye mwenyewe kuugua,ziliendelea kuwa tetesi mpaka siku alipojuzulu rasmi.View attachment 3056347
Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amemwandikia barua ya kuomba kupumzika.
Katika majibu yake Mwenyekiti wa CCM amesema "Ni kweli nilipokuomba utusaidie kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti nilikuahidi utakaa muda mfupi kama ulivyoomba, na kwa kweli nilipenda uendelee kutusaidia lakini kwa kuwa umeomba sana na ahadi ni deni nalazimika kwa moyo mzito kuridhia kujiuzulu kwako".
Pia Mwenyekiti wa CCM amesisitiza kuwa Chama kitaendelea kutumia uzoefu na maarifa ya Ndugu Kinana kila vitakapohitajika.
Chama Cha Mapinduzi kinamshukuru Ndugu Abdulrahman Kinana kwa mchango wake mkubwa kwa Chama chetu.
PIA SOMA
- Matokeo CCM: Abdul Kinana Makamu Mwenyekiti Bara, Hussein Mwinyi Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti Taifa