mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
BAdo sana kuna foleni ndefu kuja kumfikia msigwa kupewa chamaMsigwa anakuwa Makamu Mwenyekiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BAdo sana kuna foleni ndefu kuja kumfikia msigwa kupewa chamaMsigwa anakuwa Makamu Mwenyekiti
Utajisaidia kufanyeje?Naomba nirudie,,,, Samia akitoboa 2025 nitajisaidia uwanja wa Mkapa
Afanye nini ili ujue yuko pamoja na watoto wa miaka ya 70 jumlisha comrade? He's a Mr. Born town, always plays undercover while mastering the planKIkosi hakijakamilika bila namba moja wa awamu ya nne.
Utatu mtakatifu
Hilo zee linaenda kujipanga na safu yake ya kina mwanzo wa mwaka.!!
Mbona patachimbika shosti.!!
Brii anasemaje? 😹
tena iwe siku ya mechi ya simba na yangaNaomba nirudie,,,, Samia akitoboa 2025 nitajisaidia uwanja wa Mkapa
They say never underestimate the power of the sitting president.Daaah ndo maana walikomaa awe Rais ili ikifika 2025 wampige pichi ila inaonesha ngoma ni nzito sana!
Hao ndio Viungo wachafu wachezaji wa magamba. Suala la bendera nusu mlingoti haliepukiki, ni tukio la kujirudia upyaa!
Hawa ndo michwa mikuu ya nchi hii, brii atakuwa anamalizia kubebika ngoja tumsubiriHilo zee linaenda kujipanga na safu yake ya kina mwanzo wa mwaka.!!
Mbona patachimbika shosti.!!
Brii anasemaje? 😹
= na bao la mkono batalokota ku nyavu
Safi sana,lazima wapukutishwe wote 😂😂View attachment 3056347
Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amemwandikia barua ya kuomba kupumzika....
Mambo yameharibika sanaIn msoga voice "labda mambo yakiaribika sana" naona mambo ndo hayo yameshaanza kuparanganyika
Team ya fitina imekamilika sasa😄😄
Muda wa kusepa na kidumu.Kwanini wakati huu??
Ndio waende wanakoona kunafaa sio kumletea Rais figisuHii si bure bali kuna jambo.
Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.
CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.