Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe utakuwa kijana wa 2000 hii nchi hakuna kama kikwete ata 1995 alikuwa amemshinda Mkapa kama sio busara za Mwalimu Nyerere. In short kikwete Nchi anaifahamu kama kiganja cha mkono wake.
 
Naiona nafasi ya urais kwa makonda kama bado yu hai...
 
Hoja Iko hapa: Chama kitaendelea kutumia uzoefu na maarifa ya Ndugu Kinana kila vitakapohitajika...

Upinzani sijui kama wanaelewa!
Hata upinzani nao wanaweza kutumia Uzoefu na maarifa ya Ndugu Kinana, ni namna wanavyoweza kujipanga.
Umoja ndani ya CCM unapungua taratibu
Kazi kwao wapinzani
 
Ni Hekima na Busara Mh.Rais akalivunja Bunge tukafanya uchaguzi Mkuu kwa pamoja na ule wa Serikali za mitaa ili kuokoa fedha lakini pia kutengeneza Serikali yake kupitia watu wapya wenye maono ya kuijenga Nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…