Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni Hekima na Busara Mh.Rais akalivunja Bunge tukafanya uchaguzi Mkuu kwa pamoja na ule wa Serikali za mitaa ili kuokoa fedha lakini pia kutengeneza Serikali yake kupitia watu wapya wenye maono ya kuijenga Nchi.
Hawezi kufanya hivyo... Teuzi na tenguzi zinaendelea... timu zikiendelea kusukwa hadi 2025.
 
Bora akajikite kwenye ile biashara yake pendwa maana tembo wamekuwa wengi sana hadi wanavamia makazi ya binadamu.
 
Kazi iendele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…