Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Hawezi kufanya hivyo... Teuzi na tenguzi zinaendelea... timu zikiendelea kusukwa hadi 2025.Ni Hekima na Busara Mh.Rais akalivunja Bunge tukafanya uchaguzi Mkuu kwa pamoja na ule wa Serikali za mitaa ili kuokoa fedha lakini pia kutengeneza Serikali yake kupitia watu wapya wenye maono ya kuijenga Nchi.
Sasa yaonyesha dhahir walikuwa na lao jambo Mzee na wanawe !Yule mzee mlezi wa vijana watukutu kaamua kubwaga manyanga na kuambatana na wanawe.
Habari ndiyo hiyo
Akitaka atoboe 2025;Anatafutwa Mkristu apewe hiyo nafasi... Habari ndiyo hiyo hiyo!!
Ni kustaafu mazima !Destination ni wapi sasa? CCM B au CHADEMA?
Kabisa !Kuna tatizo mahali, anyway
Ya wizi wa kura ?Mikakati hiyo...
Utaichagua ccmAkitaka atoboe 2025, apunguze;
1. Apunguze Udini
2. Aache kuuza rasilimali za Tanganyika
3. Aache kuwapendelea wazenji
Bora akajikite kwenye ile biashara yake pendwa maana tembo wamekuwa wengi sana hadi wanavamia makazi ya binadamu.View attachment 3056347
Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amemwandikia barua ya kuomba kupumzika.
Katika majibu yake Mwenyekiti wa CCM amesema "Ni kweli nilipokuomba utusaidie kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti nilikuahidi utakaa muda mfupi kama ulivyoomba, na kwa kweli nilipenda uendelee kutusaidia lakini kwa kuwa umeomba sana na ahadi ni deni nalazimika kwa moyo mzito kuridhia kujiuzulu kwako".
Pia Mwenyekiti wa CCM amesisitiza kuwa Chama kitaendelea kutumia uzoefu na maarifa ya Ndugu Kinana kila vitakapohitajika.
Chama Cha Mapinduzi kinamshukuru Ndugu Abdulrahman Kinana kwa mchango wake mkubwa kwa Chama chetu.
PIA SOMA
- Matokeo CCM: Abdul Kinana Makamu Mwenyekiti Bara, Hussein Mwinyi Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti Taifa
Kazi iendeleView attachment 3056347
Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amemwandikia barua ya kuomba kupumzika.
Katika majibu yake Mwenyekiti wa CCM amesema "Ni kweli nilipokuomba utusaidie kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti nilikuahidi utakaa muda mfupi kama ulivyoomba, na kwa kweli nilipenda uendelee kutusaidia lakini kwa kuwa umeomba sana na ahadi ni deni nalazimika kwa moyo mzito kuridhia kujiuzulu kwako".
Pia Mwenyekiti wa CCM amesisitiza kuwa Chama kitaendelea kutumia uzoefu na maarifa ya Ndugu Kinana kila vitakapohitajika.
Chama Cha Mapinduzi kinamshukuru Ndugu Abdulrahman Kinana kwa mchango wake mkubwa kwa Chama chetu.
PIA SOMA
- Matokeo CCM: Abdul Kinana Makamu Mwenyekiti Bara, Hussein Mwinyi Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti Taifa
Wazenji hawakubali ujinga wa kupangiwa kila kitu !Daaah ndo maana walikomaa awe Rais ili ikifika 2025 wampige pichi ila inaonesha ngoma ni nzito sana!
Inawezekana wanataka kumdondosha 2025 .Hilo zee linaenda kujipanga na safu yake ya kina mwanzo wa mwaka.!!
Mbona patachimbika shosti.!!
Brii anasemaje? 😹
Watanganyika tusimamie hapa. asirudi, akirudi tutauzwa wote dubaiinsia nayo ni tatizo lingine, na ukiongeza na tuhuma za kutapanya maliasili za watanganyika,
Yanii kama Lowasa alikatwaa trust me kuna kitu kitatokeaaa..Inawezekana wanataka kumdondosha 2025 .
Ila ngoma itakuwa nzito .
Na Mama lazima atapiga 15 ndanii ya white house, 5 ya JPM na 10 za Kwake officially! Tukutane 2035 ndiyo anaachia!!Wazenji hawakubali ujinga wa kupangiwa kila kitu !
Enough is enough !
Ngoja tuone. !
Bila shaka ni yale ya kuhesabu na baadae kumwomba Mungu Msamaha.Kinana, mwezi wa kwanza na Nipe Niue wanaandaliwa kwa jukumu kubwa Mwakani.