dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Iyo sahihi ya mwenezi. Kiboko ila sio ya wachawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mgonjwa mgonjwa hata ukimuangalia tu !Amejiuzuru kwa kashfa gani? Au hakubaliani na kitu gani?
Amejiuzuru au amestaafu?
Sana, mno hasa kipindi hiki tutashuhudia mengi.Siasa ni mchezo mbaya sana.
Nguvu ya Mamba kumayi !
Kwa nini mkuu?We jamaa sikuelewi kabisa
Tusubiri hatima ya Bashe...Yule mzee mlezi wa vijana watukutu kaamua kubwaga manyanga na kuambatana na wanawe.
Habari ndiyo hiyo
Kwa nini kwa sababu hayo mafisadi yametoka auNaomba nirudie,,,, Samia akitoboa 2025 nitajisaidia uwanja wa Mkapa
Cv yangu ni nina kadi ya CCM.lete sivii yako mkuu😎😎😎😎
Haya umeshinda mkuuCv yangu ni nina kadi ya CCM.
Ni kweliYaani wazenji mumeanza kuwabagua katika kiti cha URAIS. ???!!
Hiyo sio poa !
Wao pia wana Haki sawa! Mama aendelee tu Kwakweli ,
🙌👍🙏
Wacha tuone km pazia la hekalu litachanika vipande vipandeInawezekana wanataka kumdondosha 2025 .
Ila ngoma itakuwa nzito .
Ndiyo inaenda kua hivyo,Ndiyo maana unaona panga pangua haziishi leo wala kesho hadi kieleweke! Mama hataki mchezo,kama kuna watu walipiga deal ili wachukuwe kirahisi toka kwa Mama imekula kwao, Mama kawa chenjia mazima! Urais mtamu asikwambie mtu! Tena hii miaka 15 Ndiyo haki yake kabisa Mama, maana hii Mitano kasoro ni ya JPM, sasa Mama anatakiwa aanze sasa Miaka 10 yake na yeye!!Inatakiwa iwe hivyo Kwakweli [emoji28]
Lakini ngoja tuone hii movie [emoji15][emoji1783]
Usijali, Katiba inako hako ka loophole, Mama lazima atapenya tu!!Soma katiba ya Tanzania ndio u comment
Kazi ipo !Ndiyo inaenda kua hivyo,Ndiyo maana unaona panga pangua haziishi leo wala kesho hadi kieleweke! Mama hataki mchezo,kama kuna watu walipiga deal ili wachukuwe kirahisi toka kwa Mama imekula kwao, Mama kawa chenjia mazima! Urais mtamu asikwambie mtu! Tena hii miaka 15 Ndiyo haki yake kabisa Mama, maana hii Mitano kasoro ni ya JPM, sasa Mama anatakiwa aanze sasa Miaka 10 yake na yeye!!
Nice Speculation,but she's there to stay,she's there to lead us up to 2030 Inshallah...Hii si bure bali kuna jambo.
Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.
CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.
Uzanzibari na uzanzibara ni petrol katika moto unaofukuta.
Wanamchekea Bi. Mkubwa ila sidhani kama wanampenda na wanapenda 2025 arudi ofisini.
Kwa madaraka makubwa ya kikatiba na yale ya ndani ya chama, akikomaa atavuka, ila watu wanaweza ku-defect dakika za mwisho na kumuweka katika mazingira magumu unless akumbatie kundi linalotajwa kumpinga na kutaka kiti chake.
Amkumbatie sana JK walau anaeweza kumsaidia kutuliza hali ya mtambo iwapo yatatokea ya kutokea.
Jinsia nayo ni tatizo lingine, na ukiongeza na tuhuma za kutapanya maliasili za watanganyika, naiona hatari kubwa sana mbele yake.
Muda utaongea.
HayaKubaki ofisini kwa namna hiyo ni ujinga, na ni mpumbavu tu kama Mabutu ndio anaweza kufanya hivyo. Hata kama Poilitics is a game lakini kuna red lines.
Kuna wananchi wanataka huduma, vijana wanataka ajira, wanafunzi wanataka mikopo, wakulima wanataka pembejeo n.k. Hayo yote ni majukumu ya Rais. Na huwezi kuyatekeleza hayo kama eti "una act like a fool"