Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inatakiwa iwe hivyo Kwakweli [emoji28]
Lakini ngoja tuone hii movie [emoji15][emoji1783]
Ndiyo inaenda kua hivyo,Ndiyo maana unaona panga pangua haziishi leo wala kesho hadi kieleweke! Mama hataki mchezo,kama kuna watu walipiga deal ili wachukuwe kirahisi toka kwa Mama imekula kwao, Mama kawa chenjia mazima! Urais mtamu asikwambie mtu! Tena hii miaka 15 Ndiyo haki yake kabisa Mama, maana hii Mitano kasoro ni ya JPM, sasa Mama anatakiwa aanze sasa Miaka 10 yake na yeye!!
 
Kazi ipo !
Ngoja tuone mtifuano
Ila Mama na timu yake wako vizuri !
Wapige mahesabu yao vizuri tu !
Naona watoto wa mjini wanapumulia mashine, walikuwa wanapima kina cha maji kwa miguu 😅
 
Nice Speculation,but she's there to stay,she's there to lead us up to 2030 Inshallah...
 
Haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…