Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yeyote aliyewahi kuwa mwandani wa Kikwete ana ubinafsi na hana mapenzi ya dhati na taifa hili; mapenzi yake yako kwenye maslahi yake binafsi na familia yake.
 
Ukweli usemwe ,naona hali sio shwari ndani ya ccm.
 
Hawa mawaziri wakuu wastaafu,kuna mmoja atachaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
 
Nice Speculation,but she's there to stay,she's there to lead us up to 2030 Inshallah...
Nimeipenda hii, na huu ndio ni ukweli.
Ile milenium iliyosemwa kuja na maajabu, wakati wake ni sasa. Wengi walidhani kuwa tar 1.1.2000 ndio kutatokea mambo. Vitu kama hivi huchukua muda mpaka vitokee toka point iliyoainishwa.

Ipo hivi- Afrika ina chance ya pili baada ya ile ya kwanza ya kupata UHURU. Kwa maneno mengine Era ya kuzungumzia habari za UHURU ziliishia milenium "2000". Matukio mengi yatatokea kila nchi Afrika na yana maana kubwa.
Kwa Tanzania Era hiyo ilianzia na UJIO WA MAGU.Hakuna aliyemtegemea kwa Heavy weight zilizokuwepo. Na baadae ni UJIO WA MAMA SAMIA- Huu ndio wa ajabu zaidi. Yote haya ni mpango wa nguvu kubwa sana usizozijua** na nia (ishara) ni kuikomboa Tanzania.
Kinachoendelea nyakati hizi ni Mapambano ya nguvu mbili. Ile asilia ya mazoea (ukipenda mafisadi) na nguvu ya pili ni ya mabadiliko (inayoangalia wananchi/walala hoi). Amini usiamini hii nguvu ya MABADILIKO ndio itashinda bila kujali chama kwa sababu ina wananchi. Tuna uchaguzi: Tuunge mkono KIZA au NURU. Kwa wasio ona nawashauri....Tuipiganie NURU kwa nguvu zote itatuvusha.
Na hapa ndio maneno haya yanahitimisha......she's there to stay,she's there to lead us up to 2030...and beyond.
Alamsik!
 
Mzee anasema anaumwa yupo kitandani, sasa barua ya kujiachisha kazi kaandika muda gani?
May be kaandikiwa,na kwani Kuna ubaya Gani akiomba kupumzika?

So to say hakuna namna kabisa CCM inaweza kwenda bila ya Makamu Kinana?

After all Kwa upinzani Gani Sasa hivi wa kuwahofia kiasi Cha kuogopa eti Kinana akipumzika?
 
Ipo hivi bi mkubwa alipewa ashike kwa muda baada ya jamm kuuangusha mbuyu, sasa mama kanogewa anawageuka wazee kwa kushikilia kiti baada ya kunogewa
 

Watumbuliwa wawili na mjiuzulu wote wapo team moja na JK, na bibie tayari alimkorofisha mentor wake (JK) kwa hali ilivyo kuna game linasukwa na bibie nae ameamua liwalo na liwe na anajiwekeza kwa kasi sana, maana anajua kuna mfumuko wa bomu unasukwa naye ameshaamua liwalo na liwe tu.

Mungu ikomboe Tz kupitia wateule wako waaminifu.
 
 

Attachments

  • 5919930-954df270905012ee1220d2072789d42b.mp4
    6.9 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…