Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii si bure bali kuna jambo.

Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika
Yaan hipo hivi, huyu mzee yupo kwenye kundi la January Makamba kumfanyia figisu mama. Kwa mujibi wa taarifa ya kigogo, wajumbe wengine kwenye kundi hilo ambalo lilitaka Kipara awe makamu wa Rais mwaka, 2025 yupo, Adams Malima,Kinana .

Ilikuwa lazima mzee huyu ajiuzulu tu kwa kuwa amegundulika kwenye uhaini huo.Na amelazimishwa kujiuzulu kwa kuwa ni msaliti.
 
Maza anataka wazanzibar
 
Mkuu huu mgongani wa siku nyingi. Kuna mambo mengine ambayo hata kuyaweka hapa haifai. Nikuulize swali la kichokozi: hivi unadhani yule dada USA alivyotoa zile tuhuma ''nyeti'' kuhusu mahusiano ni kwa nini kulikuwa na reaction kubwa sana kutoka CCM? I mean tuhuma kama zile zilitakiwa zipuuzwe tu lakini kinyume chake zimtoa nyoka pangoni, kwa nini?
 
Ikiwa Kinana anajiudhuru Kwa sababu ya NAPE NA MAKAMBA.

Hawa viumbe wanaendelea kuthibitisha kua, HAWAJAWAHI KULIPENDA TAIFA HILI.
 
Hata mimi. Mtu wa muhimu kwa Samia ni Kikwete, mkwe wake sio heavyweight wala sio smart. Samia hana team mpaka sasa amekumbatia team ya Kikwete ambayo ndio hii kaanza kuivuruga.

Adui muombee njaa. Natamani wafeli vibaya mno wavurugane
Nini? Rudia tena! Laiti ungejua hata mzee wa Msoga yuko kwenye hili kundi. Infact mgogoro ni Samia vs Kikwete.
 
2025 bado hapatabiriki..lolote linaqeza kutokea.
 
kwa mwendo huu Lissu njia nyeupeeee ikulu 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…