Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii si bure bali kuna jambo.

Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.

CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.

Uzanzibari na uzanzibara ni petrol katika moto unaofukuta.

Wanamchekea Bi. Mkubwa ila sidhani kama wanampenda na wanapenda 2025 arudi ofisini.

Kwa madaraka makubwa ya kikatiba na yale ya ndani ya chama, akikomaa atavuka, ila watu wanaweza ku-defect dakika za mwisho na kumuweka katika mazingira magumu unless akumbatie kundi linalotajwa kumpinga na kutaka kiti chake.

Amkumbatie sana JK walau anaeweza kumsaidia kutuliza hali ya mtambo iwapo yatatokea ya kutokea.

Jinsia nayo ni tatizo lingine, na ukiongeza na tuhuma za kutapanya maliasili za watanganyika, naiona hatari kubwa sana mbele yake.

Muda utaongea.
Hakuna issue yoyote mama kashawashika pabaya safarii hawachomoki Tena hao ndio kwisha habari yao.
 
Apumzike tu. Hakuwa na faida yoyote kwa nchi ya Tanzania. Na atasahaulika tu kama alivyoaga Bernad Membe.

Na hii iwe funzo kwa viongozi mwingine. Kujilimbikizia mali na wizi wa mali za umma ni ushamba ni kama unaharibu nyumba unayoishi mwenyew.
 
Mnamkuza sana Kikwete ilhali ni mwepesi kuliko karatasi! Kikwete na mtandao wake ulimalizwa haraka sana na Magufuli akabaki hoi bin taabani.

Mtandao pekee ambao haukufa na Magufuli aliamua kusalimu amri kwao na kuungana nao ni Lowassa na Rostam Aziz ambao kijana wao mtiifu na mpendwa ndo huyo Nchimbi kwa sasa!

Huyo JK hana lolote mnalotaka kuaminisha watu zaidi ya mvizia fadhila tuu.

Nchimbi,Jerry,Bashe
 
Hii si bure bali kuna jambo.

Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.

CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.

Uzanzibari na uzanzibara ni petrol katika moto unaofukuta.

Wanamchekea Bi. Mkubwa ila sidhani kama wanampenda na wanapenda 2025 arudi ofisini.

Kwa madaraka makubwa ya kikatiba na yale ya ndani ya chama, akikomaa atavuka, ila watu wanaweza ku-defect dakika za mwisho na kumuweka katika mazingira magumu unless akumbatie kundi linalotajwa kumpinga na kutaka kiti chake.

Amkumbatie sana JK walau anaeweza kumsaidia kutuliza hali ya mtambo iwapo yatatokea ya kutokea.

Jinsia nayo ni tatizo lingine, na ukiongeza na tuhuma za kutapanya maliasili za watanganyika, naiona hatari kubwa sana mbele yake.

Muda utaongea.
TZ ni salama salimina, wala usiogope. Uzuri wajuaji wameelewa mapemaaaaaa kuwa hakuna mchezo usiofahamika. Na hii ndio amani yenyewe.
Usihamishe hata senti tano yako kwenda nje.
 
Wewe utakuwa kijana wa 2000 hii nchi hakuna kama kikwete ata 1995 alikuwa amemshinda Mkapa kama sio busara za Mwalimu Nyerere. In short kikwete Nchi anaifahamu kama kiganja cha mkono wake.
Wewe ndo umeandika utoto...utakua ulikua msomaji wa magazeti ya sani na kiu....hopeless!!!
 
Apumzike tu. Hakuwa na faida yoyote kwa nchi ya Tanzania. Na atasahaulika tu kama alivyoaga Bernad Membe.

Na hii iwe funzo kwa viongozi mwingine. Kujilimbikizia mali na wizi wa mali za umma ni ushamba ni kama unaharibu nyumba unayoishi mwenyew.
Vipi aliyejijengea mpaka eyapoti kwao?
 
Vipi aliyejijengea mpaka eyapoti kwao?
Bora huyo. Maana asingeitumia pekee. Kuliko hawa wanaoiba hela na kuzificha Dubai huko au kununua nyumba South Africa.

Kama umeamua kuwa mwizi. Wekeza nyumbani ili hata ndugu wafaidike
 
1722288561271.png

The Good the Bad and the Ugly.
 
Back
Top Bottom