mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
Binadamu wa kwanza kuumbwa Na Mungu ni Adam Na Hawa.Watoto waliowazaa ni Abel Na Kaini.Abeli Na Kaini walioa je Wake zao ni kizazi cha nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda walioa dada zao waliuokuja kuzaliwa baadae baada ya wao,Binadamu wa kwanza kuumbwa Na Mungu ni Adam Na Hawa.Watoto waliowazaa ni Abel Na Kaini.Abeli Na Kaini walioa je Wake zao ni kizazi cha nani?
niliambiwa kuwa Adam na Mkewe walizaa watoto wengi na hao watoto wakazaa watoto wengi...ila sikuelewa vizuri.Binadamu wa kwanza kuumbwa Na Mungu ni Adam Na Hawa.Watoto waliowazaa ni Abel Na Kaini.Abeli Na Kaini walioa je Wake zao ni kizazi cha nani?
Abel nadhani hakuoa!!Binadamu wa kwanza kuumbwa Na Mungu ni Adam Na Hawa.Watoto waliowazaa ni Abel Na Kaini.Abeli Na Kaini walioa je Wake zao ni kizazi cha nani?
leta jibu acha porojooSomeni Quran mtapata majibu ya maswali yenu
biblia imesema watu wakuu ni akina nani?Biblia inataja wale wahusika wakuu tu.
kwann usilete jibu tu mkuu hapahapa.Someni Quran mtapata majibu ya maswali yenu
Ana Double standardsNdio ubaya wa story za kutunga....mara nyingi zinaishia hewani pasipo na majibu ya maswali yatakayo ibuka....kama Mungu ndiye aliyeumba watu basi angeumba wanawake na wanaume wakutosha ili wasizalishane ndugu kwa ndugu.....na kama aliruhusu ndugu kuzaliana, kwa nini akataze sasa hivi???
aliumbaje watu wengi?Mungu aliumba watu wengi sema wayahudi kwa ubinafsi wakatunga stori za kujionyesha wao tu