Abel na Kaini (kizazi cha Adamu na Hawa); Je, wake zao ni kizazi cha nani?

Abel na Kaini (kizazi cha Adamu na Hawa); Je, wake zao ni kizazi cha nani?

Swali jepesi sana.iko hivi
Adam na hawa hawakuwa watu halisi kama tulivyo mimi na wewe bali yalikuwa ni majina ambayo yalitumika kuwakilisha makundi ya watu.so Adam alikuwa anawakilisha wanaume na hawa alikuwa anawakilisha wanawake.lengo la kitabu cha mwanzo ni kuonyesha historia ya binadamu so isingewezekana kuzungumziwa namna kila mtu alivyopatikana so yakachaguliwa majina mawili ili yawe vielelezo au kuwakilisha makundi hayo ya watu.ukisoma vizuri kitabu chenyewe kinajieleza mfano habari ya nyoka kuongea unaona kabisa kwamba No kitu ambacho hakileti maana.so mwandishi wa kitabu kile alitumia majina ya adamu na hawa kwa maana hizo.mfano mzuri ni hadithi za sungura na fisi ambazo hutumia majina hayo kuwakilisha watu halisi.
 
Zamani na hata katika Biblia wanawake walikua hawahesabiwi hivyo Adam na Hawa walikua na watoto wakike na hawakuandikwa na basi waliolewa na Abel na Kain
 
Swali jepesi sana.iko hivi
Adam na hawa hawakuwa watu halisi kama tulivyo mimi na wewe bali yalikuwa ni majina ambayo yalitumika kuwakilisha makundi ya watu.so Adam alikuwa anawakilisha wanaume na hawa alikuwa anawakilisha wanawake.lengo la kitabu cha mwanzo ni kuonyesha historia ya binadamu so isingewezekana kuzungumziwa namna kila mtu alivyopatikana so yakachaguliwa majina mawili ili yawe vielelezo au kuwakilisha makundi hayo ya watu.ukisoma vizuri kitabu chenyewe kinajieleza mfano habari ya nyoka kuongea unaona kabisa kwamba No kitu ambacho hakileti maana.so mwandishi wa kitabu kile alitumia majina ya adamu na hawa kwa maana hizo.mfano mzuri ni hadithi za sungura na fisi ambazo hutumia majina hayo kuwakilisha watu halisi.
kama adam na hawa hawakuwa watu halisi, ile hadithi ya uumbaji inakua haina maana.
 
Zamani na hata katika Biblia wanawake walikua hawahesabiwi hivyo Adam na Hawa walikua na watoto wakike na hawakuandikwa na basi waliolewa na Abel na Kain
mchina muafrika mzungu mwarabu mjapani walikuaje na asili tofauti na adam na hawa? na kama asili ya mwanadamu ni pale eden, wamarekani wabrazil waargentina wametokea wapi? sababu wapo bara tofauti na bara waliloumbiwa adam na hawa.
 
Binadamu wa kwanza kuumbwa Na Mungu ni Adam Na Hawa.Watoto waliowazaa ni Abel Na Kaini.Abeli Na Kaini walioa je Wake zao ni kizazi cha nani?
Wakati Abel na Kaini wanaelekezwa na MUNGU kutoa sadaka Kaini alighadhabika pale sadaka yake ilipokataliwa,na akaenda mbele zaidi kwa hasira mpaka akaenda kondeni na kumuua ndugu yake,laana aliyotoa MUNGU kwa Kaini ilikua kubwa ya kulaani vizazi vyake saba.hvyo story yao unaweza kuipata kwenye vitabu vya historia na siyo ktk Biblia.maana alipolaaniwa yeye na vizazi vyake saba ni muda mrefu na vizazi hivyo vilikufa havikumjua MUNGU,kumbuka kibiblia kizazi kimoja ni miaka elfu moja.madhara ya kutatiza ya uzao wao yalisababishwa na wao kutokua waangalifu wakati wa kutoa sadaka.kuna vizazi vilipotelea Misri na havikuibuka hata kidogo
 
Zamani wanawake walikuwa hawahesabiwi, pia ndugu walioana. Hivyo waliwaoa ndugu zao wa kike na uzao ukaendelea.
 
mchina muafrika mzungu mwarabu mjapani walikuaje na asili tofauti na adam na hawa? na kama asili ya mwanadamu ni pale eden, wamarekani wabrazil waargentina wametokea wapi? sababu wapo bara tofauti na bara waliloumbiwa adam na hawa.

Mkuu kasome biology au kagugo
 
Duuh! Hili swali lamaana!
Linaeza kumfanya mtu atafakari upya uumbaji!
 
Wakati Abel na Kaini wanaelekezwa na MUNGU kutoa sadaka Kaini alighadhabika pale sadaka yake ilipokataliwa,na akaenda mbele zaidi kwa hasira mpaka akaenda kondeni na kumuua ndugu yake,laana aliyotoa MUNGU kwa Kaini ilikua kubwa ya kulaani vizazi vyake saba.hvyo story yao unaweza kuipata kwenye vitabu vya historia na siyo ktk Biblia.maana alipolaaniwa yeye na vizazi vyake saba ni muda mrefu na vizazi hivyo vilikufa havikumjua MUNGU,kumbuka kibiblia kizazi kimoja ni miaka elfu moja.madhara ya kutatiza ya uzao wao yalisababishwa na wao kutokua waangalifu wakati wa kutoa sadaka.kuna vizazi vilipotelea Misri na havikuibuka hata kidogo
Bado kuna mengi yanatakiwa kujulikana...!!
 
Ndio ubaya wa story za kutunga....mara nyingi zinaishia hewani pasipo na majibu ya maswali yatakayo ibuka....kama Mungu ndiye aliyeumba watu basi angeumba wanawake na wanaume wakutosha ili wasizalishane ndugu kwa ndugu.....na kama aliruhusu ndugu kuzaliana, kwa nini akataze sasa hivi???
[16] And Cain went out from the presence of the Lord, and dwelt in the land of Nod, on the east of Eden. [17] And Cain knew his wife; and she conceived, and bare Enoch: and he builded a city, and called the name of the city, after the name of his son, Enoch.

Cain alifukuzwa akawa anatangatanga! Huyu mwanamke alikutana nae huko alitokea wapi?
 
Mwanzo 6
1 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.

Vv
 
[16] And Cain went out from the presence of the Lord, and dwelt in the land of Nod, on the east of Eden. [17] And Cain knew his wife; and she conceived, and bare Enoch: and he builded a city, and called the name of the city, after the name of his son, Enoch.

Cain alifukuzwa akawa anatangatanga! Huyu mwanamke alikutana nae huko alitokea wapi?
Ndio maana nikasema ulikuwa uongo,....kama huyo mwanamke alikuwa ndugu wa Cain angempatia pale pale nyumbani kwao.Lakini Cain alimpata baada ya kufukuzwa kwao....sasa huyo mwanamke alizaliwa wapi?
 
Back
Top Bottom