Hahahaha!!!aliumbaje watu wengi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha!!!aliumbaje watu wengi?
Unatupoteza mkuu...Swali jepesi sana.iko hivi
Adam na hawa hawakuwa watu halisi kama tulivyo mimi na wewe bali yalikuwa ni majina ambayo yalitumika kuwakilisha makundi ya watu.so Adam alikuwa anawakilisha wanaume na hawa alikuwa anawakilisha wanawake.lengo la kitabu cha mwanzo ni kuonyesha historia ya binadamu so isingewezekana kuzungumziwa namna kila mtu alivyopatikana so yakachaguliwa majina mawili ili yawe vielelezo au kuwakilisha makundi hayo ya watu.ukisoma vizuri kitabu chenyewe kinajieleza mfano habari ya nyoka kuongea unaona kabisa kwamba No kitu ambacho hakileti maana.so mwandishi wa kitabu kile alitumia majina ya adamu na hawa kwa maana hizo.mfano mzuri ni hadithi za sungura na fisi ambazo hutumia majina hayo kuwakilisha watu halisi.
ukiwahoji majibu hawana.Hahahaha!!!
Sidhani kama tatizo letu ni kuhesabiwa; tatizo letu mkuu ni kujua hao wake waliowapata walikuwa wapi. Labda useme sasa kuwa Zamani wanawake walikuwa hawatajwi majina yao ; ambapo ntakuuliza kuhusiana na Hawa mbna ametajwaZamani na hata katika Biblia wanawake walikua hawahesabiwi hivyo Adam na Hawa walikua na watoto wakike na hawakuandikwa na basi waliolewa na Abel na Kain
Tatizo sio kuhesabiwa ...Tatizo ni walitoka wapi. Sidhanj kama biblia ilishindwa kuandika kulikuwa na ndugu zao kama kweli walikuwepo mana kama kulikuwa na ubaguzi kiasi hicho basi hata tusingesikia Jina la Hawa kabisa...Zamani wanawake walikuwa hawahesabiwi, pia ndugu walioana. Hivyo waliwaoa ndugu zao wa kike na uzao ukaendelea.
Ufike wapi???Mambo men gone Mungu hakutaka kutufunulia. Yako mengi tu. Jitahidi u fike huko Ili ukamuulize hayo maswali
Nadhani tatizo ni mwandishi...ameipoteza hadhira .Ukiachana na stori ya Adam na Hawa pia kulikuwa na stori ya watu wengine ambao hawakutajwa majina. Rejea Kaini alivyomuua Abel Mungu alimtia alama asije mtu yeyote akamuua kwa hiyo ni wazi kulikuwa na watu wengine
Uko sahihi mkuu na adam na eva walipo tenda zambi tukalaaniwa woteMmmh hapo ndo kazi ipo.
Mi nadhan kulikua na watu wengi tu ila almaarufu walikua adam na hawa. ..[emoji16][emoji16]
Ndo maana kuna torat injili zabur na quran sababu ya nyakatiNdio ubaya wa story za kutunga....mara nyingi zinaishia hewani pasipo na majibu ya maswali yatakayo ibuka....kama Mungu ndiye aliyeumba watu basi angeumba wanawake na wanaume wakutosha ili wasizalishane ndugu kwa ndugu.....na kama aliruhusu ndugu kuzaliana, kwa nini akataze sasa hivi???
Torat imejaa ukatili wa kutisha,...zaburi inachochea vita....injili imeandikwa kwa utu na kwa kuhimiza upendo.Ndo maana kuna torat injili zabur na quran sababu ya nyakati
Refer the theory of continental driftmchina muafrika mzungu mwarabu mjapani walikuaje na asili tofauti na adam na hawa? na kama asili ya mwanadamu ni pale eden, wamarekani wabrazil waargentina wametokea wapi? sababu wapo bara tofauti na bara waliloumbiwa adam na hawa.
Tatizo sio kuhesabiwa ...Tatizo ni walitoka wapi. Sidhanj kama biblia ilishindwa kuandika kulikuwa na ndugu zao kama kweli walikuwepo mana kama kulikuwa na ubaguzi kiasi hicho basi hata tusingesikia Jina la Hawa kabisa...
Binadamu wa kwanza kuumbwa Na Mungu ni Adam Na Hawa.Watoto waliowazaa ni Abel Na Kaini.Abeli Na Kaini walioa je Wake zao ni kizazi cha nani?
Ndo maana walikataza maswali kanisani, maana walijua wasingeweza kujibu hayaAbel nadhani hakuoa!!
Ila hili swali najiuliza mara nyingi sana na hata kuuliza watu wengine ikowamo viongozi wa dini!
Walizaa pia Seth baada ya Abeli kufa (sidhani kama alikua ameoa y Abeli). Kaini akalaaniwa kwa kumuua Abeli akawekwa alama kwenye paji ili 'watu wa mataifa' watakapomuona wamjue.Binadamu wa kwanza kuumbwa Na Mungu ni Adam Na Hawa.Watoto waliowazaa ni Abel Na Kaini.Abeli Na Kaini walioa je Wake zao ni kizazi cha nani?
Lakini sio ndugu wa kuzaliwa.Zaman watu walikuwa wanaowana ndugu kwa ndugu