ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,895
- 13,643
Magonjwa na dhambi aliumba nani?...kwa hiyo Mungu siyo muumba wa vitu vyote?Ni kitabu gani kwenye Bible kinachosema Mungu aliiumba magonjwa? Mungu ni mwema sana, magonjwa yalikuja baada ya dhambi na dhambi haikuletwa na Mungu. Hebu kasome the Book of Genesis vizuri