Kwa taarifa ya redio Clouds....... Mimi Mmasai bana....hatunaye tena.
sio kwamba sina uhakika, huyu jamaa kafia Arusha maeneo ya Usa, hapa nilipo naishi karibu kabisa na shangazi ake, maeneo ya kimandolu, na chalii aliekuwa ana muuguza ni chalii etu, ambae ni binamu yake. Kwaio nna uhakika na hii habari.
Siku unafiwa na mtu wako wa karibu utauliza source?
M'bongo hatakiwi kuuliza hayo maswali yako ya marehemu kafa na nini. Mwafrika yuko kwenye edge of existence, saa yoyote anaweza kuanguka, akifa ni kama kawa, hakuna kuulizana sijui alifanya nini na maisha yake. Itoshe kusema Inna li Llahi wa Inna iLlahi Rajiun!Hatukatai kuwa hafafa...Amefariki lini akiwa na umri gani, sababu za kifo chake(inamiss) na mchango wake kwa jamiii