TANZIA Abeli Motika (Mr. EBBO) Afariki Dunia

TANZIA Abeli Motika (Mr. EBBO) Afariki Dunia

Sina mashaka hata kidogo na kazi pamoja na kipaji chako na mtindo wako ulioamua kutoka nao miaka hiyo ladha iliyowaburudisha nayo Watanzania wa rika, jinsi na umri mbali mbali, ulifahamika katika ulimwengu wa wasanii kwa jitihada na uwezo wako. Hakika ulikofikia kwa wakati ule si pabaya.

Uliugua kama Binadamu mwingine yeyote na sasa Mungu kaamua kukuita Ulale salama ndugu yetu; inauma sana kupoteza nguvu kazi na mwalimu wa Watanzania wenye kupenda kuwa Wasanii kama wewe ila hatukuwa na jinsi manake aliyekuumba ndiye mwenye mamlaka na pumzi yako yeye akishasema hakuna wa kupinga wala wa kukata rufaa umetangulia nasi twaja kwa kupitia njia hiyo hiyo Watanzania tutakukumbuka daima.

rest in peace brother..............
 
RIP Mr.Ebo, bado! MUNGU AKUPELEKE UZURI, KAzi yake Mola, alitoa na Ametwaa pia.
 
watanzania 2naumia sana juu yako.,kamongo, na song nyngne nyng ulzo2achia. We wil neva 4get u. Rest in peace
 
rest in peace abel motika loshilaa
sisi tulikupenda lakini bwana
amekupenda zaid i
kwa kweli ulikua bado
mdogo saana kuondoka
lakini ndo hivyo kazi ya mungu
haina makosa .upumzike kwa amani
 
Kwa kweli inauma sana! Lakini sisi ni kama majani mabichi yafika siku hunyauka na kudondoka. Mwenyezi Mungu akurehemu akulaze pema peponi.
 
RIP Lalashe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:shock::shock::shock::shock:
 
he we si ulikuwa unaulizia source
kwa maana ya kwamba hujui
kama kafariki imekuwaje tena umegeuka doctor?

acha unyanyapaa
kwani ukimwi si jambo la kumcheka
au kumnyooshea mwenzio
vidole wkt afya yako wewe na doc wako ndo mwaijua


rip abel loshilaa motika
uwe umekufa kwa ajali
maradhi
ama lolote
we are behind you



Una uhakika gani!Nyambafu
 
zinahusiana hizi habari?

rest in peace abel loshilaa motika

kila mtu atapita hapo
uwe na ukimwi
sukari
degedege
ufie usingizini
haijalishi


na ole wenu mnaojifanya kuuona ukimwi ni wa wenzenu






Jana tu ilikuwa siku ya ugonjwa mbaya duniani.
 
Aisee mutujuze zaidi wenye habari hii.....
 
R.I.P Mr Ebbo, tutakukumbuka daima
 
Back
Top Bottom