Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umekosea!!!angalia vizuri post,aliyekuwa anadai source na kuzusha kwamba kafariki kwa UKIMWI ni mwingine!!!!!Just make careful follow up rather than making skimming/scanning reading:spy:he we si ulikuwa unaulizia source
kwa maana ya kwamba hujui
kama kafariki imekuwaje tena umegeuka doctor?
acha unyanyapaa
kwani ukimwi si jambo la kumcheka
au kumnyooshea mwenzio
vidole wkt afya yako wewe na doc wako ndo mwaijua
rip abel loshilaa motika
uwe umekufa kwa ajali
maradhi
ama lolote
we are behind you
..........Kifo hiki, RIP Mr Ebbo.
Aisee mutujuze zaidi wenye habari hii.....
Source??????
Mkuu umekosea!!!angalia vizuri post,aliyekuwa anadai source na kuzusha kwamba kafariki kwa UKIMWI ni mwingine!!!!!Just make careful follow up rather than making skimming/scanning reading:spy: