Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
RIP Mmasai...Ulijitahidi kudumisha mila..:A S-coffee:
google ilo neno!
Very shocked!! Huyu jamaa kwa wanaofahamu ndio wasanii wa mwanzo kabisa kuimba R&B tena kwa kiingereza kabla baadae sana kubadilika na kuimba kwa lafudhi ya kimasai! Kwa tuliokuwa Arusha miaka mwanzoni mwa 90s watakuwa wanamkumbuka vizuri sana hasa Deo Rweyunga wa radio one! Miaka hiyo wakati bado anaimba alitoa nyimbo akishirikiana na wakenya(wale walioimba Mpenzi hakuna matata kwa wanaokumbuka) ikatamba sana United radio service (URS) ya arusha moja ya radio za mwanzo za Fm Tz! Naweza kumuweka ktk kundi la Ma legendary wa bongo fleva ingawa watanzania wengi mlimfahamu kuanzia mimmasai bwana! Dah Rest in peace bro!Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa amani Amina.
naona amekufa siku moja baada ya kusherehekea siku ya ugonjwa uliomuua!