Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
arusha napakubali ila akili za wana arusha wengi ndo zinanipa wakati mgumu kuzielewa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
arusha napakubali ila akili za wana arusha wengi ndo zinanipa wakati mgumu kuzielewa!
Achana na Lema mmemponza Nepi leo anahangaika peke yake kutetea kitumbua tabia yenu haipishani na m/kiti wenu mnamtumia mtu mwisho mnamtupa kama mpira.
he! Mkuu unaish wapi?Mungu wangu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Mr.Ebbo kafa??
So mwambie Nepi akaongoze kama ana ubavu wa kutia pua A town.Mr Ebo, alikuwa sio Chadema mnauteka msiba wa Wamasai
Mr Ebo ulipokuwa unaumwa hatukuona cha CCM au chadema wakigombania kukuponya lakini leo chadema wanagombania maiti yako dhidi ya ccm
siasa za LEMA bwana!!!!!!!!naichukia CCM,lakin Chadema nao mh!!!!!!!!!!!!
Jibu swali Lema ni nani kwenye familia ya Mr Ebo mpaka apange mazishi awaite wanaharakati wa Chadema?
Jibu swali Lema ni nani kwenye familia ya Mr Ebo mpaka apange mazishi awaite wanaharakati wa Chadema?
Askofu Laizer aongoza ibada sasa