ABIRIA AKUTWA NA KICHWA CHA MTU (MTOTO)

ABIRIA AKUTWA NA KICHWA CHA MTU (MTOTO)

IMG_2447.png
 
Tarehe 19/12/2024 abiria wa bus la Frester VIP T794EHR seat No 40 toka kahama to dar kakamatwa Misigiri Singida anasafirisha KICHWA CHA MTU (mtoto) kwenye begi. Kilikua kinatoa harufu mbaya kwenye gari hadi akashtukiwa. Tuongeze umakini sana kwenye ukaguzi kabla safari haijaanza.
Jeshi la polisi limekanusha habari hii. Jamaa alibaba utumbo wa samaki, ndio uliokuwa unatoa harufu
 
Back
Top Bottom