Abiria waliokuwa kwenye Nyambizi ya Titan wakitalii kwenye mabaki ya Meli ya Titanic wafariki dunia

Abiria waliokuwa kwenye Nyambizi ya Titan wakitalii kwenye mabaki ya Meli ya Titanic wafariki dunia

hawa wazungu wamekufa kijinga walipaswa kumwamini Mungu yupo,sababu hasa ya kuzama kwa meli ya titanic miaka hiyo ni kibri ya babu zao kupongezana kwamba hii meli ilivyotengenezwa kwa ustadi mkuu hata Mungu hawezi kulizamisha, muda mchache tu baadaye ngoma ika-immersed completely

Hiyo haikuwa safari ya kiimani, ni scientific exploration. Hiko chombo si cha kwanza na wao si kwanza, wapo ambao wameenda na wakafika na wakafanikiwa kurudi bila tatizo lolote.

Event kama hizi huwa zinatokea lakin haziwanyimi kuendelea.

Waliotengeneza ndege za kwanza walifanya trial kibao, ktk hizo trial walipoteza watu mwisho wa siku wakaweza na leo dunia inatembelea uvumbuzi wao.
Walikuwa hawamuamini Mungu?
 
nimekusoma kwa mbaaaaali …

yaani ni kama ulale kwenye shimo refu watu waanze kumwaga udongo juu yako ina maana jinsi wanavozidi kuongeza udongo na uzito ndivo unaongezeka.

nimepatia Mwalimu ?

Kama hivyo sasa
 
duuh sasa hata miili yao itapatikana kweli??? haya maishaa bhanaa unakuwa tajirii mkubwa mwisho wa uhai wako hata mwili wako haupatikaniii unapotea as IF YOU NEVER EXIST AT ALLL...fucck life

Mkuu, hakuna kitachopatikana....! In less than a minute walikuwa vipande vipande!
 
mi mbona naona kilomita nne karibu sana ?

Mkuu Kilomita nne chini ya bahari ni mbali sana!

Angalia picha hii..

1688157595317.png
1688157595317.png
 
Back
Top Bottom