About to fall in a trap

I'm a man. Pastor aliyetupa mafundisho ya ndoa 10 years ago alisema, ni afadhali kuvunja uchumba kuliko kuvunja ndoa. Japo utalaumiwa, lakini kwa upande mwingine unamsaidia sana mwanaume mwenzetu. Imagine miaka ambayo angeteseka....
Njia rahisi but effective ninayoikubali ni kumvizia afanye kosa. Hakuna binadamu mkamilifu, atakukosea tu. Mara baada ya kosa unakandamiza hapo, unagomea kutoa msamaha. It worked all the time. Of course hao wote nilikuja kuwarudisha kuwa marafiki miaka mingi baadae
 
Utasambaza hiyo mbususu waishenyente kwa masela wangapi ndo uje utulie?

Nyie ndo mkishafika third floor mnaanza kutusumbua vijana wakati ujana wenu mmeutumia vibaya too selective.
 
Usiogope,we mchane tu...tunapona chap sikuhizi
Ni kheri aumie muda huu kuliko kuumia ukimkataa siku ya harusi

Yaan usiogope,mbona nao huwa wanatuchinjia baharini ...Mchane,ataponea kwake🤒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…