About to fall in a trap

About to fall in a trap

Utasambaza hiyo mbususu waishenyente kwa masela wangapi ndo uje utulie?

Nyie ndo mkishafika third floor mnaanza kutusumbua vijana wakati ujana wenu mmeutumia vibaya too selective.
Unatka nifanyeje yet Sina hisia nae tena
bora umuache tu kuliko uende kumtesa huko ndani

better safe than sorry

ila unatengeneza bomu litakaloenda kulipukia wanawake wenzako
I don't have feelings for him jmni
Utakuja kumtafuta walau akubali uwe mchepuko wake, wakati huo mbususu ishapoteza uwezo wa "kufinyia kwa ndani"
Life is not a movie 😋
 
Usiogope,we mchane tu...tunapona chap sikuhizi
Ni kheri aumie muda huu kuliko kuumia ukimkataa siku ya harusi

Yaan usiogope,mbona nao huwa wanatuchinjia baharini ...Mchane,ataponea kwake🤒
Moyo ataumia ndo nahofia kwanza hayupo romantic neither a provider..
Ntamchana tu someday
 
Moyo ataumia ndo nahofia kwanza hayupo romantic neither a provider..
Ntamchana tu someday
Kwa lugha uliyoitumia hapa,inaonekana kabisa kua Mungu ameamua kumuokoa huyo mkaka kwa kiumbe kama wewe,

Unaweza kuona kua wewe ndio humtaki ila Mungu ndio kaamua kumuokoa Kijana wa watu asijiingize kwa mtu kama wewe.
 
Bora umuambie ukweli coz kuolewa ni kifungo na kwa Binti kama wewe bado hujaishi maisha yako kwa uhuru ni wazi mtasumbuana na jamaa hasa kama hamna vitu vingi vya kushare.
Hakika📌kufungwa kifungo Cha maisha na mtu kwasasa sitaki umri hujaniacha kwanza
 
Kwa lugha uliyoitumia hapa,inaonekana kabisa kua Mungu ameamua kumuokoa huyo mkaka kwa kiumbe kama wewe,

Unaweza kuona kua wewe ndio humtaki ila Mungu ndio kaamua kumuokoa Kijana wa watu asijiingize kwa mtu kama wewe.
Hayaendi unavyofikiri
Mimi ndo nimeokolewa n tapeli
 
Back
Top Bottom