About to fall in a trap

About to fall in a trap

Wanawake kama hawa wapo.

Mmoja aliniambia anaona hanifai coz nimekaa kama vile natarajia kumuoa. Nikamuuliza kisa nini? Akasema nacare kama vile namuandaa awe mke wangu.

Kazaliwa 2001.

Ni species hizi hizi
 
Mallerina kwa mujibu wa huu uzi wako si upo chuo wewe?

Anakuoaje mwezi wa sita wakati utakuwa unafanya UE!!
Hahahaha 😂
 
Hakika📌kufungwa kifungo Cha maisha na mtu kwasasa sitaki umri hujaniacha kwanza
Yeah kula maisha kwanza, explore the world, fanya starehe zote unazozipenda, ila hakikisha haufanyi makosa ya kuzaa kibahati mbaya (kama kweli una lengo la kuja kuwa na familia iliyonyooka hapo baadae)

Olewa au oa ukiwa umeshamaliza mambo yako ambayo unahisi ukiwa kwenye ndoa hutaweza kuyafanya (hasa wanawake kwa maana mwanamume anaweza akaoa na akaendelea kufanya mambo anayoyapenda ila mwanamke hawezi kwasababu anaenda kuwa controlled, sasa ili kuepusha migogoro ya ukinzani kwenye ndoa it's better ukaolewa ukiwa umemaliza mambo yako)

NB: ninaposema umalize mambo yako simaanishi uende ukaruhusu maungo yako yachakazwe na Kila mwanamume, halafu baadae ukishakubuhu ndio utafute mwanamume akuoe, hiyo si sawa.

Kwa maana mapenzi ni sehemu ndogo sana katika swala la uhuru so have fun but hakikisha unatunza utu wako (jikite kwenye mambo ambayo yatafanya uwe exposed na ulimwengu, kuliko yale yatakayokufanya uwe exposed na size mbalimbali).
 
Habari zenu

Kuna mkaka nlimkubalia kuolewa nae nlipokuwa desperate na tulipanga ndoa iwe June ata kama wazazi upande wangu hawataki....

Aliona kama bahati na kunitambulisha kwao faster..ila baada ya kuheal na desperation( bila kumtumia yeye) naona uamuzi wa kumkubali haukua sahihi kwangu

He's a 10guy but to me he is a no sitakuwa na amani kabisa.. muda simpi red flags kama zote ila Bado haoni ...

Tatizo siwezi kumwambia sitaki ndoa nae maana expectations zote kaweka Kwangu akiamini Mimi ni wake


Njia sahihi ya kukataa ndoa pamoja na kumkataa yeye ni ipi tofauti na kumwambia sitaki Wala simtaki?

Nipo team #kataa ndoa📌
Ngoja tuone
 
downloadfile.jpg
 
Yeah kula maisha kwanza, explore the world, fanya starehe zote unazozipenda, ila hakikisha haufanyi makosa ya kuzaa kibahati mbaya (kama kweli una lengo la kuja kuwa na familia iliyonyooka hapo baadae)

Olewa au oa ukiwa umeshamaliza mambo yako ambayo unahisi ukiwa kwenye ndoa hutaweza kuyafanya (hasa wanawake kwa maana mwanamume anaweza akaoa na akaendelea kufanya mambo anayoyapenda ila mwanamke hawezi kwasababu anaenda kuwa controlled, sasa ili kuepusha migogoro ya ukinzani kwenye ndoa it's better ukaolewa ukiwa umemaliza mambo yako)

NB: ninaposema umalize mambo yako simaanishi uende ukaruhusu maungo yako yachakazwe na Kila mwanamume, halafu baadae ukishakubuhu ndio utafute mwanamume akuoe, hiyo si sawa.

Kwa maana mapenzi ni sehemu ndogo sana katika swala la uhuru so have fun but hakikisha unatunza utu wako (jikite kwenye mambo ambayo yatafanya uwe exposed na ulimwengu, kuliko yale yatakayokufanya uwe exposed na size mbalimbali).
At least me and you are in the same boat
Hiki hiki ndicho nawaza achana na hawa washamba wananipondea na kuniita Malaya just because I want to.enjoy life and not ready to be committed to someone for a life time
 
Back
Top Bottom