Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Wewe je?Ajibu sio upinde kweli?
Huyu anaimbaga singeli🤣🤣🤣 ila hizi fashoooni za siku hizi 🤣🤣🤣Dogo amenifanya nicheke sana kwa hili jibu lake.
View attachment 2481245
Hii si ya kuvaa dada yake au demu wake 😂Kijinzi nimekielewa
Ndo alichobaki nacho.Kijinzi nimekielewa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]itakuwa [emoji304]
Bora aliondoka. Maana na yeye muda huu anagekuwa anatuletea tu mizinguo, kama mwenzake Fei Toto.Alibugi alivoondoka Yanga kwa nyodo
Kabisa. Huyu akili hana pia.Bora aliondoka. Maana na yeye muda huu anagekuwa anatuletea tu mizinguo, kama mwenzake Fei Toto.
Hivi nyie Uto hamuwezi kuachana na mtu kwa uzuri?!Alibugi alivoondoka Yanga kwa nyodo
Tunaweza, ila ukijifanya muhuni lazima likukute jambo!Hivi nyie Uto hamuwezi kuachana na mtu kwa uzuri?!
Kwani yanga huwa kuna nini mbona watu humaliza kimatatizo sana.Alibugi alivoondoka Yanga kwa nyodo
Wana mambo ya kikuda sanaHivi nyie Uto hamuwezi kuachana na mtu kwa uzuri?!