Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi nguo hizi. Watakuja kuombwa washeliHuyu anaimbaga singeli🤣🤣🤣 ila hizi fashoooni za siku hizi 🤣🤣🤣
MvivuuMara nyingi watu wenye talanta huwa ni wa kusukumasukuma. Ninahisi Ajibu hana upepo! 🙌
Yanga ndiyo kilele cha mafanikio kwa mpira wa Bongo. Ukitoka Yanga unatakiwa kwenda nje ya nchi, kama alivyofanya Simon Msuva.Kwani yanga huwa kuna nini mbona watu humaliza kimatatizo sana.
Hivi huwa ukiwa shabiki wa Yanga lazima nati zicheze?Yanga ndiyo kilele cha mafanikio kwa mpira wa Bongo. Ukitoka Yanga unatakiwa kwenda nje ya nchi, kama alivyofanya Simon Msuva.
Ukitoka Yanga na kwenda timu mdogo kama Mikia fc au Azam fc, nk lazima tu ufulie. Kwa uchache tu (Ibrahimu Ajib, Gadiel Michael, Frank Domayo, Bernard Morrison, Benno Kakolanya na wengineo wengi! Wote viwango vyao vilibakia kuwa vya kawaida, baada ya kuondoka Yanga wakiwa ni wa moto kweli kweli.
Na sasa Feisal Salum "Fei Toto" naye anaelekea huko huko! Muda si mrefu atabakia tu kuwa ni historia.
Huwa mnawasha lile jiko la mkaa halafu mnachukua mguu wa ng'ombe wa mbele mnauchoma mpaka uteketee kisha mchezaji akienda aendapo yanamkuta.ALISIKIKA MZEE MMOJA WA KAMATI YA WATU WA SIRINI YA YANGA PALE NIYONZIMA ALIPOTIMKIA SIMBA.os kov tumewaelewa.Yanga ndiyo kilele cha mafanikio kwa mpira wa Bongo. Ukitoka Yanga unatakiwa kwenda nje ya nchi, kama alivyofanya Simon Msuva.
Ukitoka Yanga na kwenda timu mdogo kama Mikia fc au Azam fc, nk lazima tu ufulie. Kwa uchache tu (Ibrahimu Ajib, Gadiel Michael, Frank Domayo, Bernard Morrison, Benno Kakolanya na wengineo wengi! Wote viwango vyao vilibakia kuwa vya kawaida, baada ya kuondoka Yanga wakiwa ni wa moto kweli kweli.
Na sasa Feisal Salum "Fei Toto" naye anaelekea huko huko! Muda si mrefu atabakia tu kuwa ni historia.
Mbona ameeleza ukweli mtupu.Hivi huwa ukiwa shabiki wa Yanga lazima nati zicheze?
Yanga ni brand kubwa respect ni lazima ukizingua tunakuzingua double.Kwani yanga huwa kuna nini mbona watu humaliza kimatatizo sana.
Naona unachokoza mzinga wa nyuki. Watch your back young lady.Hivi huwa ukiwa shabiki wa Yanga lazima nati zicheze?
Kabisa, kiukweli mwenye hela hana maono.Mvivuu
Kulikua na fununu kuwa anamtafuna yule meja wa apple na alimpangia nyumba kabisa lakini sijuiiiAjibu sio upinde kweli?
Wanyoosheni mpaka wakome ila msiwanyooshe huku mkilalama.wanyoosheni kimya kimya vinginevyo wote mtaonekana walalamishi tu.Yanga ni brand kubwa respect ni lazima ukizingua tunakuzingua double.
Simon Msuva kaondoka na barka zote mbona Yanga hatuna nongwa nae, Kisinda aliondoka vizuri na karudi.
Sisi hatutaki mchezaji kujifanya mjuaji lazima anyooshwe!
Mange alisema,anamkula ndogo meja kuntaAjibu sio upinde kweli?