dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee utakuwa mendeAjibu anakishep fulani hivi na kitako cha kubonyea
Ajibu ni moja kati ya wachezaji wachache waliowapiga Yanga hela nyingi. Sidhani kama ana shida tena kihivyoTunaweza, ila ukijifanya muhuni lazima likukute jambo!
Alijifunzia Yanga huu upindeAjibu sio upinde kweli?
Vinguo vyake kama upindeAjibu sio upinde kweli?
huyu ni mjinga tp mazembe walikuja kimsajili lakini alikataa kwakuwa ni mvivu sanaDogo amenifanya nicheke sana kwa hili jibu lake.
View attachment 2481245
ulevi, ulevi, uleviiiiMwacheni mtoto wa migomba kama hatambui talanta alonayo
LahaulaaaaAjibu anakishep fulani hivi na kitako cha kubonyea
Kulikua na fununu kuwa anamtafuna yule meja wa apple na alimpangia nyumba kabisa lakini sijuiii
Mange alisema,anamkula ndogo meja kunta
Kwa uzuri kama nyie mlivyoachana na Dejan?Hivi nyie Uto hamuwezi kuachana na mtu kwa uzuri?!
Teqm imejaa wagangaKwani yanga huwa kuna nini mbona watu humaliza kimatatizo sana.
Ha ha haTeqm imejaa waganga
Ohoooo, we bhana we hata hilo utafuniwe mbona rahisi sanaMeja wa apple? Umenipoteza.
Hizi fashion za siku hizi aisee.. sasa hicho kijinsi ukiingia club mtu kalewa si anaweza kukushika tako akijua ni mwanamkeDogo amenifanya nicheke sana kwa hili jibu lake.
View attachment 2481245