Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndipo magamba wanajichanganya eti makubaliano sentensi mbili? Mkuu JJ asaante kwa ufafaunuzi hope kundi la Kina Zero watakuwa wameelewa! ni taarifa ya Vyombo kwa Habari Only. Magamba wameyakuza ila Ukweli unabaki palepale!Mr. Zero,
Nilichosaini ni "Taarifa kwa Vyombo vya Habari" ambayo ilitoa kwa umma masuala mawili ambayo tulikubaliana. Hatukukubaliana Rais asaini ile sheria, kwa kuwa suala la kusaini au kutokusaini ni kwa kadiri mamlaka yake ya katiba ibara ya 97 na ibara ya 37 inatamka bayana kwamba Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yoyote.
Na sababu moja wapo ya kumueleza Rais asisaini kati ya nyingi ambazo zilielezwa kwa kina kwenye waraka kwa Rais ni hilo la kuwepo kwa kifungu cha kifungo cha hadi miaka saba au faini ya hadi milioni 15 au vyote kwa kukusanya maoni au kutoa elimu kuhusu mabadiliko ya katiba kwa kile kilichoelezwa kuwa kinyume na sheria husika.
Baadhi ya masuala ambayo umeyauliza tayari nilishayatolea majibu kwenye mkutano na wanahabari baada ya Rais kusaini sheria husika unaweza ukaingia www.chadema.tv utapata sehemu ya majibu.
JJ
Hawawezi kupora haki ya watz kuhabarishwa. wachochezi ni wabunge wa ccm. A. kibanda ataibuka shujaa!!!! Tupo pamoja nawe kamanda.
Tiote, naogopa kupewa ban mkuu!Kama Kibanda ni shujaa basi nchi hii haina mashujaa. Si ni Hutu Kibanda kuwadi wa mafisadi? Si ni huyu Kibanda ambaye kila leo yuko na Fred Lowassa akifadhiliwa na kuanzisha majarida yatakayozima moto wa mapambano dhidi ya ufisadi. Au Kumtukana Rais kila toleo na hasa kila jumatano ndiyo ushujaa! Nitafurahi nikimuona anatinga kizimbani
Duh!Mzee wa ngeli kweli umeamua kugeuka, Mungu akulinde usije ukakengeuka tena
Ni lini mhariri wa UHURU atakamatwa kwa uchochezi?
[h=6]John HecheNa mwenyekiti wa bodi ya Daily News alikuwa Wilson Mukama. u can connect the dots now!!Yule Mhariri wa Daily News aliyesema Dr.Slaa hawezi kuwa Rais 2010 kama sijakosea si ndio huyo Clement Mshana Mkurugedzi wa TBC???