kipanga mlakuku
Member
- Jun 9, 2011
- 92
- 53
huyu naye kanunuliwa na nani? japo sita ni fisadi lakini sio katika extent ya kuandikiwa kitabu huku mafisadi papa wakipeta
Standard yako ni ya kufikirika, Sita ni fisadi na hao mafisadi mapapa ni mafisadi......wite mafisadi
Kibanda ameamua kudeal na Sita, wengine wataandika vya wengine!
Sita ni mnafiki, alivunja mkataba wa dowans, bila kusaidia kama mwanasheria leo hii tunailipa dowans.
afadhali angekuwa hana ufahamu wa kisheria kama Joel bendera au makamba...he is lawyer by professional yet we are where we are because of sita and mwakyembe! hang him!
Go kibanda go..
Sasa na wewe usiyejuwa maana ya Reputation power tukuiteje? zuzu! zezeta au ngumbaru? huwezi kumfikia Absalom Kibanda kwa lolote lile kapuku wewe.Huyu Abasalomu ni kilaza kuliko maelezo. Naona anafuata mkumbo wa kina Kubenea ili na yeye aingie kwenye payroll ya RA na LA. Kweli hatuna waandishi kabisa ila waganga njaa tu.
Hivi mwanasiasa gani leo Tanzania ana moral authority ya kutuongoza kwenda tunakokutaka? Woote wamechafuka tena mbaya!
aingie kwenye payroll mara ngapi? hujasikia hata ile taarifa ya Edo aliyotoa kwa waandishi wa habari kule monduli ndiye aliyemwandikia? Kibanda, Edo, RAni kundi moja wahasimu wa kundi la SS na MwakyembeHuyu Abasalomu ni kilaza kuliko maelezo. Naona anafuata mkumbo wa kina Kubenea ili na yeye aingie kwenye payroll ya RA na LA. Kweli hatuna waandishi kabisa ila waganga njaa tu.
Sasa na wewe usiyejuwa maana ya Reputation power tukuiteje? zuzu! zezeta au ngumbaru? huwezi kumfikia Absalom Kibanda kwa lolote lile kapuku wewe.
Hata kama Sitta ni mchafu lakini bado hajaanza kunuka. Lowassa na RA ni wachafu kiasi cha sabuni nazo kuogopa kuwasafisha kwa kuogopa kuchafuka.
Unajua absolom anaumia kama niumizwavyo mimi na hizi tabia za Sita na Mwakyembe kwanini wanang'ata na kupuliza? Sita kama siyo fisadi kwanini aliamua kuumaliza mjadara wa Richmond baada ya kuagizwa na wakuu wake ambao wana link na mafisadi? naye mwakyembe kwnini aliamua kuamua kutokusema kila kitu kwa kisingizio cha kutunza heshma ya serikali? alafu leo hii wanaendelea kujidai wanachukizwa na ufisadi, wangekuwa siyo mafisadi na wanachukia ufisadi Sita angeruhusu mjadala uendelee mpka kieleweke na Mwakyembe angesema kila kitu ili serikali iumbuke kwa maovu yakeHuyu Abasalomu ni kilaza kuliko maelezo. Naona anafuata mkumbo wa kina Kubenea ili na yeye aingie kwenye payroll ya RA na LA. Kweli hatuna waandishi kabisa ila waganga njaa tu.