Absalom Kibanda: Kilichobaki ni Kuandika kitabu cha Maovu yako Samwel Sitta!

Absalom Kibanda: Kilichobaki ni Kuandika kitabu cha Maovu yako Samwel Sitta!

Na tutakuwa tumejifunza juu ya madhara ya kuwa na viongozi wanafki kama Sita.
Umeandika mambo ya msingi sana ingawa nataraji wengi watakushambulia humu jukwaani.

Papara za Sitta et. al. ndizo zimesababisha tufike hapa. Hivi hakukuwepo uwezekano wa kuvunja mkataba baada ya majadiliano na maridhiano kati ya pande husika?

Pengine tukiwalipa DOWANS tutabaki na funzo la kutoingiza siasa kwenye mambo ya kisheria siku zijazo.
 
Naamini kati ya vitu anavyojuutia Sitta,na atavijuutia hadi kufa ni Kuufunga mjadala wa Richmond pale bungeni. La sivyo ungetupeleka uchaguzi mkuu tena,kwani Na Kanali Kikwete ungemgusa na kwa mara nyingine Kikwete angevuliwa nguo hadharani.
pole Sitta. Hii ndo ile waswahili waiitayo AKUANZAYE MMALIZE, au akumlikaye mchana usiku atakumaliza. Faida ya unafiki.
 
hicho kitabu utasoma mwenyewe na mke wako. Hatutaki wanafiki katika dunia ya SASA tupo tayari kupindua nchi lakini siyo kuwapigia debe mafisadi.Nchi tutaikabidhi iongozwe Kijeshi wakati tunaanda Demokrasia ya Kweli..........................Hata walikuchagua kuwa M/kiti inabidi wajipime vizuri
 
Angalia usiwe kilaza zaidi!, yeye amejitolea kuanika ufisadi wa fisadi PAPA= SITTA, hii ni hatua ya kupongezwa. kama wewe siyo kilaza ungeamua kuhangaika na fisadi mmoja unaye mjua ungekuwa umesaidia kutokomeza ugonjwa huu. unapoamua kumpinga aliyeoneshaq juhudi huo ndio u-kilaza.
Huyu Abasalomu ni kilaza kuliko maelezo. Naona anafuata mkumbo wa kina Kubenea ili na yeye aingie kwenye payroll ya RA na LA. Kweli hatuna waandishi kabisa ila waganga njaa tu.
 
huyu naye kanunuliwa na nani? japo sita ni fisadi lakini sio katika extent ya kuandikiwa kitabu huku mafisadi papa wakipeta
Wadau mtaona kama watu wengine tunamtetea Sitta ama tunampenda sana, no ila kutoka sasa mpaka kufikia ccm kumpata mgombea atakaemrithi kikwete tutaona na kuyasikia mengi sana kutoka kwa hawa wahariri wetu.

Kibanda antumiwa na Lowassa siku nyingi kabla hata ya kubenea,suala la yeye kutumiwa na lowassa lilikua likimkera hata kubenea mwanzo kiasi mpaka cha kufikia kujaribu kumchongea kwa bosi wake mh.freeman mboe ambae mara zote amekua akimtetea kibanda kwa kusema yeye amewaachia uhuru na hawaingilii wahariri wake japo nayeye anahisi kibanda anatumiwa na mafisadi.

Sina uhakika na taarifa za hicho kitabu ila kama kweli kipo huo ni mkono wa Lowassa hakuna jingine,kwani mwanzo ilikua Lowassa aanzishe gazeti na kibanda awe mhariri wa hilo gazeti, mpango ambao naamini haujafa kwa kuwa kila kitu kilikua kimekamilika ikiwemo mpaka ofisi pamoja na furniture za ofisi, sasa labda Lowassa amaeona kitabu ndio kitafaa zaidi na kwa jeuri ya pesa ya mafisadi kina lowassa si ajabu hicho kitabu kikawa kinagawiwa bure, tusubiri tuone, lakini watanzania tuwe makini sana na waandishi hawa nitakaowataja kwenye list of shame ya wahariri wa bongo:

1: Said Kubenea

2: Absalom kibanda

3: Jacton Manyerere

4: Deo Balile

5: Muhingo Rweyemamu wa mtanzania (siku hizi nasikia pia ni afisa habari wa Manji)

Hii ndio tano bora ya wahariri hatari na wenye uchu wa ajabu wa kujengewa nyumba na mafisadi hapa nchini.Hawa jamaa wameahidiwa donge nono kama watamsaidia Lowassa kuingia ikulu, kama ilivyokuwa Salva Rweyemamu alipokua Rai kipindi kile akifanya kazi ya kumsafishia njia jk kwa kuwachafua washindani wake, basi na hawa watano wako kwenye payroll ya Rostam na Lowassa kuhakikisha Lowassa anaingia ikulu, tuombe uzima, haya mtakuja kuyakumbuka huko mbele.

Eti atatunga kitabu!!!!!!!!!!!!!
 
Haya mambo na haya majamaa yanachanganya kweli kweli. Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kulinganisha ufisadi wa Sitta na ule wa Lowassa?

Mkuu mwenzangu Kibanda sijaelewa kilichokusibu ukapiga bonge la U-turn. Tuambizane tusijegeuziana silaha sisi kwa sisi. Kweli Sitta na Mwakyembe ndiyo waliomuokoa Kikwete akawapa Uwaziri. Lakini bado Sitta hajafikia hata kiatu cha Lowassa na Jakaya kwa ufisadi.

Kibanda ukiandika kitabu kuhusu uchafu wa Sitta basi nakumbushia unichapishie na changu juu ya ufisi wa Lowassa. Nadhani unakikumbuka kitabu changu cha NYUMA YA PAZIA ambacho mchapishaji wangu aligwaya kukichapisha na wengine wengi likiwemo Tanzania Daima, pamoja na kuliandikia, kukataa kuki-serialize.
 
Umepayuka vwema kuwa kimsini Sitta ni fisadi japo hawafikii hao wengine, hapa tanzania mupo waandishi wengi na media houses kedekede, ni aibu kumlazimisha Kibanda kuacha kuandika kile alichojiridhisha kuwa ana taarifa zake za kutosha na aandike kile ambacho unaona kinafaa.

Hapa siyo swala la ufananisho kuwa kwanini umwandike X na umuache Y?!, wewe mwenye taarifa za Y ziandike na yeye muache aandike za X, kupayuka kwako kunaonesha kuwa wewe uko kwenye payroll ya mh. Sitta- heshimu taaruma yako. Ciao
Haya mambo na haya majamaa yanachanganya kweli kweli. Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kulinganisha ufisadi wa Sitta na ule wa Lowassa?

Mkuu mwenzangu Kibanda sijaelewa kilichokusibu ukapiga bonge la U-turn. Tuambizane tusijegeuziana silaha sisi kwa sisi. Kweli Sitta na Mwakyembe ndiyo waliomuokoa Kikwete akawapa Uwaziri. Lakini bado Sitta hajafikia hata kiatu cha Lowassa na Jakaya kwa ufisadi.

Kibanda ukiandika kitabu kuhusu uchafu wa Sitta basi nakumbushia unichapishie na changu juu ya ufisi wa Lowassa. Nadhani unakikumbuka kitabu changu cha NYUMA YA PAZIA ambacho mchapishaji wangu aligwaya kukichapisha na wengine wengi likiwemo Tanzania Daima, pamoja na kuliandikia, kukataa kuki-serialize.
 
Umeandika mambo ya msingi sana ingawa nataraji wengi watakushambulia humu jukwaani.

Papara za Sitta et. al. ndizo zimesababisha tufike hapa. Hivi hakukuwepo uwezekano wa kuvunja mkataba baada ya majadiliano na maridhiano kati ya pande husika?

Pengine tukiwalipa DOWANS tutabaki na funzo la kutoingiza siasa kwenye mambo ya kisheria siku zijazo.

well said bro

wanaharakati wameharakatika lakini wapi...tuzo iko palepale
Tutaandamana nchi nzima...hakuna kitu,... Tuzo itatolewa tu. Ni sheria imeamua..kinyume chake tuikatae mahakama, ambapo wakati tunaenda kwenye kesi tulijiamini vipi, kwa nini tuliikubali ila tuikatae pale ambapo tumeshindwa kesi? hatuoni mbali..
 
Inawezekana kabisa Mh Sitta sio msafi lakini kwa mwandishi wa habari/mwenyekiti wa jukwaa la wahiriri kutoa matamshi aliyotoa ni nje kabisa ya mipaka ya taaluma yake - very unethical. Kama kweli Kibanda anataarifa za ufisadi wa Sitta kwanini kama mwandishi asifanye kazi yake -aandike hizo habari? Alizipata lini hizo habari za Sitta? Pia Kibanda ana taarifa za ufisadi wa watu wengine mbali ya Sitta? Why Sitta and not others? Mimi naona kama Kibanda anatishia wanasiasa hapa, kwamba ukiwa karibu naye hata kama utafanya madudu atakaa kimya lakini mara unapokuwa upande wa pili atatoa habari zako. Na ukiangalia makala za Kibanda ni wazi utaona yuko upande gani.

Nategemea baada ya kuandika kitabu kuhusu ufisadi wa Sitta utaandika pia vitabu kwa mafisadi papa. Hapo ndio tutaona hujanunuliwa. Lakini kama ni kitabu cha Sitta peke yake tutaendelea kuamini wewe ni mwandishi uchwara.
Nakubaliana nawe mkuu!

Kwa kuwa hoja imekuja mapema kabla kitabu hakijatoka namshauri Kibanda kukonsider opinions hizi ili kuthibitisha hatumiwi na yeyote. Simuungi mkono Sitta, na aliniudhi sana alipolegeza msimamo na kufunga issue ya Richmond bila kufikia mwisho wenye manufaa kwa wananchi. Kosa hilo la sita na wapambanaji feki wa ufisadi (Mwakyembe, Mengi, Olesendeka, Nape, Anna Kilango nk) ndilo likatuletea janga la kumchagua yuleyule muhusika mkuu wa Richmondi kwenye uchaguzi wa mwaka jana.

Lakini Sitta sie pekee aliye tatizo katika ufisadi wa Tanzania. Hebu andika kitabu kitakachoufisadi wa mafisadi wote papa na manyangumi. Ya Sitta inaweza kuwa chapter moja tu. Tueleze uhusika wa kila fisadi katika kuitafuna nchi hii. Manji, RA, EL, JK na Sitta bila biasness yeyote.
 
Huyu Abasalomu ni kilaza kuliko maelezo. Naona anafuata mkumbo wa kina Kubenea ili na yeye aingie kwenye payroll ya RA na LA. Kweli hatuna waandishi kabisa ila waganga njaa tu.

We mwita acha mawazo ya kizamani absalom anaganga njaa kivipi kwani kaomba msaada wowote, acha afunguke tujue mbivu na mbichi
 
Wadau mtaona kama watu wengine tunamtetea Sitta ama tunampenda sana, no ila kutoka sasa mpaka kufikia ccm kumpata mgombea atakaemrithi kikwete tutaona na kuyasikia mengi sana kutoka kwa hawa wahariri wetu.

Kibanda antumiwa na Lowassa siku nyingi kabla hata ya kubenea,suala la yeye kutumiwa na lowassa lilikua likimkera hata kubenea mwanzo kiasi mpaka cha kufikia kujaribu kumchongea kwa bosi wake mh.freeman mboe ambae mara zote amekua akimtetea kibanda kwa kusema yeye amewaachia uhuru na hawaingilii wahariri wake japo nayeye anahisi kibanda anatumiwa na mafisadi.

Sina uhakika na taarifa za hicho kitabu ila kama kweli kipo huo ni mkono wa Lowassa hakuna jingine,kwani mwanzo ilikua Lowassa aanzishe gazeti na kibanda awe mhariri wa hilo gazeti, mpango ambao naamini haujafa kwa kuwa kila kitu kilikua kimekamilika ikiwemo mpaka ofisi pamoja na furniture za ofisi, sasa labda Lowassa amaeona kitabu ndio kitafaa zaidi na kwa jeuri ya pesa ya mafisadi kina lowassa si ajabu hicho kitabu kikawa kinagawiwa bure, tusubiri tuone, lakini watanzania tuwe makini sana na waandishi hawa nitakaowataja kwenye list of shame ya wahariri wa bongo:

1: Said Kubenea

2: Absalom kibanda

3: Jacton Manyerere

4: Deo Balile

5: Muhingo Rweyemamu wa mtanzania (siku hizi nasikia pia ni afisa habari wa Manji)

Hii ndio tano bora ya wahariri hatari na wenye uchu wa ajabu wa kujengewa nyumba na mafisadi hapa nchini.Hawa jamaa wameahidiwa donge nono kama watamsaidia Lowassa kuingia ikulu, kama ilivyokuwa Salva Rweyemamu alipokua Rai kipindi kile akifanya kazi ya kumsafishia njia jk kwa kuwachafua washindani wake, basi na hawa watano wako kwenye payroll ya Rostam na Lowassa kuhakikisha Lowassa anaingia ikulu, tuombe uzima, haya mtakuja kuyakumbuka huko mbele.

Eti atatunga kitabu!!!!!!!!!!!!!

Hebu fanya fasta kutuletea hiyo list of shame. bila shaka itakuwa imeshiba evidence. Hao wa chini, yaani wa pili kushuka, hata mimi naona kuna kuna dalili za wazi za kununuliwa. ila Kubenea nitahitaji kushawishiwa vizuri. kama ni kweli basi sitanunua Mwanahalisi tena.
 
Haya mambo na haya majamaa yanachanganya kweli kweli. Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kulinganisha ufisadi wa Sitta na ule wa Lowassa?

Mkuu mwenzangu Kibanda sijaelewa kilichokusibu ukapiga bonge la U-turn. Tuambizane tusijegeuziana silaha sisi kwa sisi. Kweli Sitta na Mwakyembe ndiyo waliomuokoa Kikwete akawapa Uwaziri. Lakini bado Sitta hajafikia hata kiatu cha Lowassa na Jakaya kwa ufisadi.

Kibanda ukiandika kitabu kuhusu uchafu wa Sitta basi nakumbushia unichapishie na changu juu ya ufisi wa Lowassa. Nadhani unakikumbuka kitabu changu cha NYUMA YA PAZIA ambacho mchapishaji wangu aligwaya kukichapisha na wengine wengi likiwemo Tanzania Daima, pamoja na kuliandikia, kukataa kuki-serialize.

Mzee hiko kitabu chako cha nyuma ya pazia kipeleke ThisDay na KuliKoni ama Raia Mwema au Dira, kitatoka na tutakisoma tu achana na wahariri njaa hawa kina kibanda,magazeti sasa hivi yaliyobaki ni hayo tu,mwananchi nao siwasomi sawasawa siku hizi,kuna mhariri mmoja pale bwana bakari machumu kuna siku aliniambia kitu kuhusu Lowassa nikamuangalia mara mbili mbili then nikamuuliza na wewe WAR CHEST imekupitia nini mzee, hakunijibu akacheka tu nikaagana nae..

Maana sikutegemea kwa jinsi ninavyomfaham atazungumza ujinga ule kuhusu Lowassa, yani kujaribu kubadilisha nyeupe iwe nyeusi,hivyo toka siku ile mwananchi nilitazama kwa macho ya tahadhari kubwa.. Sitaki waniingize kichwa kichwa kwa kuamini ni wakombozi kumbe walikata kona siku nyingi,sasa hivi inabidi tuwe makini sana hakuna wa kumuamini, kama amebadilishwa mtu ambae alidai kumwagiwa tindikali unategemea nini
 
Nimekuwa nikimheshimu sana Kibanda kupitia maandishi yake (Kazi)na baada ya kuchunguza muundo wa maandishi yake na style yake ya uwasilishaji nikagundua Kibanda ni msomi wa falsafa za kibudha. Katika nyakati zile za kuridhika na kujipenda na kujikuba the way alivyo nikagundua tena ni kama muumini fulani wa kibudha (japo budhism si dini).
Nikionacho sasa hv ni kuwa ametumia uwezo wake uliojijenga ndani yake kupitia falsafa na 'imani' ya kibudha kama mtaji. Mtaji utakaomnufaisha yeye na kuzidi kulisambaratisha taifa.
What a shame Kibanda, just go back to your senses and moral.
Unatambua fika falsafa za kibudha zinashambulia tabia kandamizi bila kuonyesha chuki, refer to Dalai Lama.
Hujakosea kuuanika ufisadi hadharani bali najiuliza kama kweli dhamira yako ni hiyo na kama your psych has not been dented by your heart desire
 
Kibanda anafanya kazi ya Boss wake Mbowe, Mbowe na Slaa wamekwishanunuliwa na Rostam na Lowasa, mashambulizi wanayaelekeza kwa watu waliohusika kuwadamage Lowasa na kundi lake, Lowasa alipofanya mkutano na waandishi hakuna kiongozi yoyote wa CDM aliyecounter attack hoja zake isipokuwa CUF.

Kibanda ni muajiriwa wa Mbowe, anaandika kitabu cha ufisadi wa Sitta ili iweje? coz ni lazima kuwe na sababu ya yeye kufanya hivyo, then what? ameshindwa kuanza na cha Rostam na Lowasa?, la hasha ni vile ametumwa kufanya kazi ya Boss wake Mbowe. Simtetei Sitta, ni kweli anaweza kuwa na makosa yake ya kifisadi kama yapo, lakini je yanalingana na ya lowasa na rostam?

Watu wanapigana kwa bidii dhidi ya ufisadi lakini sasa viongozi wa CDM na washirika wao ndio wamekuwa ngao ya mafisadi wakuu, angalia siku hizi gazeti la mwanahalisi linalomilikiwa na mkurugenzi wa fedha na utawala wa CDM linavyomuandama Sitta, Lowasa siku hizi wala haguswi, na mkakati wenu ni kumwingiza lowasa ikulu, kama Mungu anaishi Lowasa hastahili kuwa rais hata siku moja, jizi hilo ndio linasababisha mchafue watu coz of money?

kweli mtanzania ana kazi kujikomboa.
lowassa na Rostam walishamalizwa
Sitta naye anateketezwa kwa ujinga wake wa kuizima Dowans bungeni na sasa tunalazimika kuilipa
Sitta ni mshenzi kwani aliunga mkono Posho (900 bilions) hana uchungu na wanainchi
 
hicho kitabu utasoma mwenyewe na mke wako. Hatutaki wanafiki katika dunia ya SASA tupo tayari kupindua nchi lakini siyo kuwapigia debe mafisadi.Nchi tutaikabidhi iongozwe Kijeshi wakati tunaanda Demokrasia ya Kweli..........................Hata walikuchagua kuwa M/kiti inabidi wajipime vizuri

wewe na mkeo ndo hamtakisoma
 
Back
Top Bottom