Absalom Kibanda: Namuogopa Abdurahman Kinana

Absalom Kibanda: Namuogopa Abdurahman Kinana

Kama nlijua kuwa mtahusisha na cdm na freemedia..hata jana kova alilisemea kisiasa kujenga logic kuwa tanzania daima ipo nyuma ya hii kadhia.kama tutaingiza siasa ktk kila tukio basi serikali na jeshi la polisi kwa hakika wamekuwa wapiga ramli wa magamba.ila hatutawaelewa kwani kumbukeni singo ya kifo cha wangwe haikuweza kubamba licha hii...


Junior Member Array
Join Date : 8th March 2013
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received 0
Likes Given 0

Makanjanja na waganga njaa hupati shida kuwatambua, kweli CDM inawanyima usingizi. Please MODS, unganisheni takataka hii na uzi mwingine wenye harufu ya namna hii.

Junior Member Array


Join Date : 8th March 2013
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
 
CCM Mnahangaika sana.Mwangosi chadema wamemuua,Ulimboka Chadema wamemtesa,Walimu wakigoma chadema,madaktari wakigoma chadema,polisi kuua morogoro chadema wameua,kupigwa risasi mwandishi wa tanzania daima na Majira pia ni chadema.Imebaki kusema mimba za wake zenu wamepewa na chadema...Silly you

teh teh teh senki yu!
 
Makanjanja na waganga njaa hupati shida kuwatambua, kweli CDM inawanyima usingizi. Please MODS, unganisheni takataka hii na uzi mwingine wenye harufu ya namna hii.
 
Hahahahahahaha
uana anagaika sana kuunganisha mambo! Naona unajua kabisa walio mfanyia yale Kibanda kwa hiyo ni bora upeleke haya maelezo na ushahidi polisi utasaidia sana!

Hivi kwa nini tusi seme kuwa pengine ccm(mfano) ndio wamefanya hivyo hili ionekane ni chadema na wametumia huo mwanya wa kuhama kwake freemedia?

hivi hujui magwanda wengi hawajafurahishwa na makala hiyo? hivi hujui hiyo ndiyo ilikuwa tiketi yake ya kutoka FREEMEDIA?
 
Last edited by a moderator:
mmepata pa kusemea, lakini kwenye uhai wa mtu tusiweke siasa. ila aya madhambi yote yanayofanyika wafanyaji wake watalipwa hapahapa. ila bado akili yangu inawaza kuwakomboa watanzania kutoka kwa maisha ya sasa yaliyoja ahadi tele. hili litapita litakuja lingine lakini mabadiliko ya kweli ndio tunayotaka watanzania.

mtaimba sana ngonjera na mashairi yenye vinna na mizani. hayo madaraka hamtayapata kwa vile hamna subira na siasa za kistaarabu
 
Kibanda kahamia Mtanzania ili kupata sympathy ya CCM kwenye kesi yake!!!!!
 
mbona hawajamfanya hivyo akiwa Tanzania Daima?
hawa jamaa wako very smart na wana style nyingi tu, hautojua muda wala saa, wna wakati mwingine wana take advantage ili ionekane si wao, hukumbuki ya mwendawazimu kwenda kuungama kwa mchungaji kwamba laimtesa ulimbaoka kisha kova akaja ana cheka cheka kwamba wamempata mtuhumiwa, hivi hii kweli si aibu ya mwaka. amini usiamini hakuna mtu aliye umbw na chama chochote, watu wate wame toka kwa Mungu, tutapiga makelele sana. Propaganda nyingi kuficha madhambi ya serikali lakini damu yao haitapotea amini nakwambia, aibu hii iinakuja mapema sana, walidhani wamemuua ulimboka leo hata kuongelea wanaona aibu, cha maana ni kufungia gazeti. Mungu si mjinga kama wana vyodhani adhabu hiii hawata ikwepa ni zaidi ya maamuzi ya binadamu. hii haitapita. imini!
 
In Tanzania there are best 'blackdogs who are good sniffers', can not be confused with whistle-blowers like mleta mada.

Wait, time will reveal. At that time the whole issue will not be in the local newspapers, since your plan is to ban them, instead will be through international papers and social networks plus emails.

You 'll remember the cry of Mwangosi and always be scared to death whenever his name and his blood are mentioned.

Do you think watoto wa Mwangosi hawakutaka kuishi na baba yao? Ama mke wake hajutaka kuishi na mume wake mpaka wanapokuwa vibibi? Is Almighty God on your side for what you have done keep on doing to innocent Tanzania through Police force?
 
Hahahahahahaha
uana anagaika sana kuunganisha mambo! Naona unajua kabisa walio mfanyia yale Kibanda kwa hiyo ni bora upeleke haya maelezo na ushahidi polisi utasaidia sana!

Hivi kwa nini tusi seme kuwa pengine ccm(mfano) ndio wamefanya hivyo hili ionekane ni chadema na wametumia huo mwanya wa kuhama kwake freemedia?

kwa sababu zipi? si hiyo makala kaisifia CCM kwa kuwa makini katika kuwateua watu? au mnafikiri CCM ni kama chama chenu ambacho kimejaa mambumbumbu kibao. hata form six leaver anapewa wadhifa mkubwa ndiyo maana hukimbilia maandamano kama suluhisho maana uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo umekuwa mdogo
 
Wewe ndo una matatizo......makala ya kibanda ni ya hoja ,ni mtu huru.Afteral kwani freemedia ni ya Chadema? Ukinijibu hapo utaonekana kama unajua unaloandika au hujui.Hapo kibanda hajafanya kosa lolote,kaandika hoja,na waliosoma gazeti walimwelewa.Sasa Cjui MaCCM mnaunganishaje hoja alizotoa na kuumizwa kwake.? Tangu ameenda Habari Corporation sijaona makala zozote alizoandika kuiponda CHADEMA.

Ninachokiona hapa ni Ma CCM kutumia siasa zao zilezile kuwadanganya watu eti CDM wanahusika.Je,Hadi CDM wanamtesa kibanda,vyombo vyenu vya usalama vilikua wapi? Vimeshindwa kulinda raia hadi kundi la kigaidi la chadema kuwadhuru raia?

Come on,vaeni hata akili bana.Na 2015 lazima muisome namba,we will make sure Turnout ya wapiga kura inakuwa kubwa tuone kama mtapata kitu.

Mkuu hilo ni suala la mgongano wa kimaslahi wewe. Hivi unawezaje kusema Tanzania Daima siyo la CHADEMA wakati mmiliki wake ni Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Mwandika makala anaandika akiwa Tanzania Daima halafu, mabya kabisa anasifia chma hasimu na CHADEMA, usiwe mtumwa wa kushabikia siasa, simama katika ukweli utaonekana wa maana katika jamii.
 
Mungu yuko karibu zaidi na watanzania, hivi hii aibu ya ulimboka wana ifichia wapi? ulisikia ushahidi wa polisi kuhusu mwangosi! ni kinywa kilicho laaniwa ndiyo kinaweza kutoa maneno awaliyo toa askari ambao tuna tegemea walinde usalam wetu, nini maan ya kitu kizito, huu ni wendawazimu. nchi imelw=aaniwa hiii. moto tunao ulilia unakuja na tuna fanya hivi kwasababu tanzania ni nchi ya amani raia ni wapole hawataki matata, wakati huuu unaisha
 
NDO KUSEMA HATA MWAKYEMBE ALIFANYIZIWA NA CDM, mh! Pole ndugu zangu wanambeya! Ulimboka, Mwangosi, Mwakyembe, na yule jaji nani aliyefia getini kwa kupigwa risasi! Duh! mbombo ghafu!
 
hawa jamaa wako very smart na wana style nyingi tu, hautojua muda wala saa, wna wakati mwingine wana take advantage ili ionekane si wao, hukumbuki ya mwendawazimu kwenda kuungama kwa mchungaji kwamba laimtesa ulimbaoka kisha kova akaja ana cheka cheka kwamba wamempata mtuhumiwa, hivi hii kweli si aibu ya mwaka. amini usiamini hakuna mtu aliye umbw na chama chochote, watu wate wame toka kwa Mungu, tutapiga makelele sana. Propaganda nyingi kuficha madhambi ya serikali lakini damu yao haitapotea amini nakwambia, aibu hii iinakuja mapema sana, walidhani wamemuua ulimboka leo hata kuongelea wanaona aibu, cha maana ni kufungia gazeti. Mungu si mjinga kama wana vyodhani adhabu hiii hawata ikwepa ni zaidi ya maamuzi ya binadamu. hii haitapita. imini!

hivi hujui mpango ule uliandaliwa na akina Slaa kwa kulitumia lile kanisa? mbona hawajaenda msikitini? kafanye mazungumzo binafsi na kiongozi wa lile kanisa atakupa full story
 
Magwanda bhana badala ya kujadili hoja unahangaika na tarehe !!!! Ndo maana mwenyekiti wenu alipata ziro form four!!!!!!





Junior Member Array
Join Date : 8th March 2013
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received 0
Likes Given 0

Makanjanja na waganga njaa hupati shida kuwatambua, kweli CDM inawanyima usingizi. Please MODS, unganisheni takataka hii na uzi mwingine wenye harufu ya namna hii.

Junior Member Array


Join Date : 8th March 2013
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
 
NDO KUSEMA HATA MWAKYEMBE ALIFANYIZIWA NA CDM, mh! Pole ndugu zangu wanambeya! Ulimboka, Mwangosi, Mwakyembe, na yule jaji nani aliyefia getini kwa kupigwa risasi! Duh! mbombo ghafu!


bora umetumia kidogo akili yako kufikiria
 
hivi hujui mpango ule uliandaliwa na akina Slaa kwa kulitumia lile kanisa? mbona hawajaenda msikitini? kafanye mazungumzo binafsi na kiongozi wa lile kanisa atakupa full story
basi kama ni mpango wa akina slaa na kanisa basi hii siyo serikali ni matakataka, hizi ni roho za watu zina potea kama serikali ninjua kuna mipango ya kidharimu inasubiri nini kuchukua hatua stahiki? kova naye kaingia aje katika ngonjera za ki sh ga. mnafanya utani na roho za watu haya mambo yatarudi tu. imekuwa kama michezo ya kuigiza kwanini hamkulitumia mwana harisi liwasaide uchunguzi, usijipumbaze amka!
 
Hebu tulia chini tujadili bila kutukanana! Nime kuuliza kwa nini tusiseme kuwa baada ya ccm kuona Kibanda kahama chadema na ccm kila leo huwa wanawaza kuichafua chadema sasa wakahamua kumfanyia hivyo ndugu Kibanda wakijua fika kuwa primary suspect atakuwa chadema? Lakini kama mna ushahidi kwa nini usipelekwe kwa vyombo vya usalama hili chadema washughulikiwe au tukutane mahakamani!

Naomba tujadili bila kutukanana maaana mimi si mahiri wa matusi!
Back to topic!
Naomba ujibu maswali hapo juu!

kwa sababu zipi? si hiyo makala kaisifia CCM kwa kuwa makini katika kuwateua watu? au mnafikiri CCM ni kama chama chenu ambacho kimejaa mambumbumbu kibao. hata form six leaver anapewa wadhifa mkubwa ndiyo maana hukimbilia maandamano kama suluhisho maana uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo umekuwa mdogo
 
Last edited by a moderator:
kwa sababu zipi? si hiyo makala kaisifia CCM kwa kuwa makini katika kuwateua watu? au mnafikiri CCM ni kama chama chenu ambacho kimejaa mambumbumbu kibao. hata form six leaver anapewa wadhifa mkubwa ndiyo maana hukimbilia maandamano kama suluhisho maana uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo umekuwa mdogo

Mmeo na watoto wako wanahasara sana kuwa na mama kama wewe. Huna akili hata moja kichwani. Shame on you
 
Leo TISS, jesh la police na la lumumba wameshinda humu ndani, kuhusisha matatizo ya kibanda na chadema..... wakAt muhusika ndio anawajua.... .

Mmmh! bahasha leo zitakuanyingi sanaaaaaa
 
ukiweza kufanya analysis vizur bila kua bias wakati wa issue ya ulimboka niliona upande wa pili kwa mtizamo wangu na mateso ya Kibanda yanazid kunifungua macho.
iko hivi issue ya ulimboka ilikua ni ya uchonganishi kunawatu walijipenyeza kati na kwakujua kua kufanya vile kutazidisha ugomvi kati ya Madaktar pamoja na wananchi dhidi ya Serekali ili wao kupitia huo ugomvi wapenye katikati na kuanekana mbadala.(a) wamijisahau wakautumia mbinu zile zile kwa adui yao anayejulikana wazi kama ndivyo sikutegemea
(b) Mchezo walioufanya wao thidi ya ugomvi kati ya ulimboka na serekali wamefanyiwa wao kuchonganishwa na waandishi wa habari.
tumefika mbali sana na huu mchezo wa uchonganishi kwani hata maswali na kidini yanafinyika kwa kutumia mchezo mchafu unamwagia tindikali mwenzako ili useme upande wa pili unahusika, mnatoa uhai wa mwingine ili kusingizia flani ndo wahisika.haya yote yana malipo.
 
Back
Top Bottom