kwa sababu zipi? si hiyo makala kaisifia CCM kwa kuwa makini katika kuwateua watu? au mnafikiri CCM ni kama chama chenu ambacho kimejaa mambumbumbu kibao. hata form six leaver anapewa wadhifa mkubwa ndiyo maana hukimbilia maandamano kama suluhisho maana uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo umekuwa mdogo
Kama kuna mtu pimbi ni huyu Atongozwe hana hoja yeye anabisha ilimradi aonekanu yuko jf kila kitu Chadema mwisho watakuoa sasa make posho unapewa kweli kwa kuichafua cdm,unasema wengine wamefeli form six,tuambie wewe na hiyo elimu yako inakusaidia nini kama hauna akili za kujitambua na kutafuta kazi za kufanya umekalia siasa za maji taka kuchafua watu ili upate posho ya kukuwezeaha kuishi ni ufinyu wa akili katika karne hii jiulize wakitoka madarakani si utakuwa shamba boy,mama kama wewe tafuta kazi ya kukupa riziki siasa za kuamka asubuhi kukaa kwenye laptop kuchafua watu hazikusaidii ila kwa sababu unapewa posho na Nepi utakula tu mchana,Omba ccm waendelee kukaa madarakani wakiondoka huko nyuma kwako taaabu kwelikwei
Mara unakuja na udini yaani masaburi kweli wewe