Come to think of it nimesoma makala ya
Kibanda nikabaki hoi to say the least!! lakini kwa sababu sio mwandishi ambaye amewahi kuni-impress kwa method na analytical depth ya makala zake nikaona nisubiri wadau wengine greats; watasemaje kuhusu makala yake kuhusu Kinana.
Kwa kifupi ninaweza kusema Kibanda has a crush on Kinana or he is infatuated by Kinana or he was intoxicated by Kinana's persona!! the chap is embedded pure and simple, he was too long on words but too short on substance!!
1. Yuko silent kuhusu military record ya Kinana save for only saying "anajua mbinu za medani"!!?
2. Mtu mpembuzi yakinifu anajua ushindi wa Mkapa 1995 ulitokana zaidi na ushawishi wa Mwl. Nyerere na uchanga wa demokrasia nchini kuliko uwezo wa kampeni meneja Kinana.
3. Kibanda anamlaani Ben Mkapa kwa kum-sideline Kinana baada ya kampeni 1995, je nani anamjua zaidi Kinana kati ya Mkapa wajika lake na waliokaa katika cabinet pamoja na Absalom Kibanda?!
4. Kibanda anajaribu ku-trivialize skeletons za Kinana katika hujuma nyingi nyingi bila kujipa muda wa kufanya utafiti; Kibanda no research no right to speak; this is just the begining utajuta uliandika makala hii!
5. Kibanda ungejiuliza kwa nini Kinana alizikimbia main stream politics za Arusha akahamia kwenye peripheral arena za ukampeni meneja na shughuli nyingine zisizokuwa na direct contact na public kama NEC nk. nk Kibanda ushauri wa bure; mtafute Charles Makongoro Nyerere atakutonya kuhusu hilo!
6. Kibanda kinachowaumiza CCM ni rushwa, ubadhirifu wa mali ya umma na ufisadi ambao sasa wame-uinstitutionalize, usifikiri kina Makamba ambaye vuvuzela lake lililomnusuru Kikwete asipate kura chini ya asilimia 50 za uenyekiti na sio Kinana! au Mkama a fullbright scholar; ni wajinga sana kushindwa kuinusuru CCM, la hasha!bali mfumo umewafanya redundant.
7. Mkumbuke Gorbachev wa Urusi alipoingia madarakani na sera ya Glasnost & Perestroika!! mfumo ukaikataa, akanusurika mapinduzi na mwisho wake alitupiliwa mbali leo hii he is irrellevant katika siasa za Urusi
8. Kibanda; read my lips; CCM has to die first before it can be reformed; such are the dictates of history, Je Kinana na Mangula wanaweza kwenda tofauti na matakwa ya historia?!
. Umemsikia Mangula anasema in 6 months OUT; lakini Kinana on Jenerali on monday anasema hana muujiza wa kumaliza matatizo ya CCM; Kibanda what do you read from these two statements za wateule hao wa CCM unaowaogopa!?
10. CCM inapitia kipindi kinachoitwa "OLD AGE CRISIS"; ukilichanganya na OMBWE LA UONGOZI jawabu ni KIFO.
Kibanda bora ungejipa muda tuone kuliko kutamka UNAMUOGOPA KINANA! wewe kama nani lakini? au wewe Kibanda ndio winds of change that are flowing in the hearts and souls and ringing in the minds of many Tanzanians for a better Tanzania. Kibanda you could have done better, we are disappointed.
Kibanda makala yako ina viashiria vyote kwamba you are embedded! lakini tumekuelewa kwa sababu tunajua kwamba "He who pays the piper calls the tune" jaribu tena Kibanda; lakini nina hakika njia yako itakuwa ngumu, we have come a long way kuweza kudanganywa kirahisi.