Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mimi napendekeza wote tuliochukizwa na babaishaji wa Kibanda tupeleke masikitiko yetu Freemedia na mwenye mawasiliano ya Freeman Mbowe ayaweke hapa ili tumueleze ukweli kwamba Gazeti lake linatumika kuhujumu Mabadiliko na amfute kazi mara moja Absalom Kibanda.
Free Media Limited
mtaa wa Mkwepu na Makunganya, SLP 15261, Dar es salaam, Tanzania
simu +255-22-2120604 faksi +255-22-212623
tzdaima@freemedia.co.tz
Free Media Limited
mtaa wa Mkwepu na Makunganya, SLP 15261, Dar es salaam, Tanzania
simu +255-22-2120604 faksi +255-22-212623
tzdaima@freemedia.co.tz