Maseto
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 944
- 545
Ninakubaliana na Kibanda anapotoa tahadhali kwa upinzani kuwa wasimbeze Kinana.lakini sikubaliani naye anaposema Kinana atafufua CCM.inawezekana Kibanda anaamini hivyo kwa kuwa hajui hali halisi ya huku vijijini.CCM Siyo tu haikubaliki isipokuwa imefikia kiwango cha kuchukiwa.CCM imekorofisha kwa makundi yote ya jamii.huku mtwara wakulima wa korosho hawaki hata kuisikia.kule kanda ya ziwa tatizo la pamba limeizoofisha CCM kwa kiwango cha kutisha.na sasa CCM imewakosea hata wagöjwa wa ukimwi!.siamini kuwa Kinana anayo tiba ya yote hayo.