mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Anasema yuko imara zaidi,alikuwa muoga sana kabla hajatekwa lakini kwa sasa ni jasiri,haogopi tena kikubwa anasisitiza kuwatia moyo waandishi habari wenzake,analalamika kuna lugha nyingi za kishabiki waandishi wa habari
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums