Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,021
Anaogopa kutaja jina la hiyo "taasisi nyeti..." anaogopa kutaja huyo aliyeambiwa ajitahadharishe nae, anaogopa kutaja chochote halafu anatuambia kuanzia sasa atakuwa jasiri, ataandika kila kitu. Ridiculous.
Kwamfano akishataja wewe utafanya nini, ama utamsaidia nini? Labda kuna mahala ambapo yeye anaona akitaja patakuwa na impact. Yani wewe unataka ataje tu, then....