Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Kibanda kafunguka na ukweli umefichuka...magaidi wabaki uchi!
- Amesema yako matukio mengi yalitangulia ya kuwadhuru waandishi wa habari kabla yake yeye.
- Amesema wiki mbili kabla ya kutekwa aliwahi kuliona gari la taasisi moja limepaki na kuanza kumfuatilia.
- Aliwahi kutahadharishwa na mtu toka taasisi nyeti ya taifa hili kuhusu msimamo wake katika maswala ya taifa.
- Amesema viongozi wengi wa serikali wamefanya jitihada kubwa katika kukwepesha ukweli wa yaliyomkuta.
- Amesema vyombo vya dola vimetumika katika kupotosha ukweli wa matukio ya aina hiyo.
- Amesema amepata faraja kuwa wapo viongozi wa ulinzi wa usalama wastaafu wanafuatilia.
- Amedai kama alivyowahi kulialia Pinda kuwa nchini kuna watu wahalifu wenye nguvu zaidi ya dola, hawakamatiki!