Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,368
Anasema alipolazwa hospitalini nchini Afrika Kusini serikali ilimtuma mtu mmoja kwenda kuona maendeleo yake. Uongozi wa hospitali uliamua kumficha ili kunusuru maisha yake.
Serikali ilimtuma mtu! Basi mchawi si anajulikana kwanini asiwe wazitu sasa kulikoni anavyoumauma maneno na mwisho wake watamtambarizia mbali kabla ya kufunguka, ama anataka apate shavu kama la ulimboka?