Pre GE2025 Absolom Kibanda: Sekretariat ya CHADEMA inahusika na Wabunge 19 wa viti maalum CHADEMA

Pre GE2025 Absolom Kibanda: Sekretariat ya CHADEMA inahusika na Wabunge 19 wa viti maalum CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Katika hali inayoonyesha usanii mkubwa wa uongozi chini ya Mwenyekiti Mbowe, Aliyewahi kuwa mhariri wa gazeti la Tanzania Daima ndugu Absolom Kibanda, ameongea na Watanzania kupitia katika mtandao wa Clubhouse kuwa Kuna watu ndani ya sekretariat ya CHADEMA walifanya uhuni na kughushi saini ya Katibu mkuu Mnyika na kupeleka majina ya akina mama 19 katika mamlaka za serikali ili wawe wabunge.

Katika maelezo yake, Kibanda alimtetea Katibu Mkuu Mnyika kuwa hahusiki na ishu hiyo ila alizunguukwa na wahuni wachache ndani ya sekretatiat kwenye ishu hiyo.

Ifahamike kuwa miongoni mwa wanaouunda Sekreatariat ya CHADEMA ni manaibu makatibu wakuu wawili wa Bara (Benson Kigaila) na yule wa Zanzibar (Salum Mwalimu). Wote hawa wake/wapenzi wao ni miongoni mwa hao akina mama 19. Hata hivyo Kibanda hakutaja jina la yeyote kati ya hao kuwa ndiyo wanahusika.

Wiki iliyopita ndugu Lissu aliulizwa kuhusu wajumbe hao wa sekretariat kuwa na mke/wapenzi katika wale akina mama 19 walioingia bungeni kimagumashi, kwamba kwa nini wasiwekwe pembeni. Lissu akajibu kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha katiba ya chama. Akasema kuwa kwenye chama mtu haingii kama bibi na bwana, bali kila mtu anaingia yeye kama yeye. Akasema kwa mujibu wa kanuni na katiba ya chama, mtu hawezi kuadhibiwa eti kwa sababu mke/mpenzi wake amekikosea chama.

Watu wanahoji kuwa iweje chini ya uongozi wa Mbowe kunatokea uhuni mkubwa kwenye sekretariat halafu hakuna uchunguzi wala hatua zozote kuchukuliwa? Je, ni reforms zipi Mbowe atazileta kama anashindwa kusafisha sehretariat yake?. Ifahamike kuwa dhamana ya kutengeneza sekretariat iko mikononi mwa Mwenyekiti. Kwa nini hasafishi sekretariat yake?
 
Aisee!. Hawa watu wanatuchezea sana.
Ndiyo maana wamepoteza mvuto wa kisiasa kwa sababu ya magumashi yao!
Huu mgogoro ni mkubwa kuliko Watu wanavyoutafsiri na ulianza tangu Mbowe amlete Nyalandu Chadema

January yatasikika mambo yatakayowashangaza wengi Kwa sababu Dr Mashinji na Patrobas Katambi wanajua mambo mengi sana
 
Mimi sio kuwa naichukia Chadema, ila kutegemea mapinduzi ya kweli chini ya Mbowe ni kupoteza muda. Mbowe yeye huwaza pesa tu, yuko tayari hata aende gerezani kuzuga na kuwa chota akili wafuasi wake, chadema kwake ni biashara, kipato. Hizo zote za covid 19 ilikuwa ni zuga tu, ohh serikali u dictator, ohh msajiri wa vyama kwapeleka, ohh hatuwa tambui, blablabla kibao, at the end yeye ana piga pesa. Shikamoo Mbowe, wajinga ndo waliwao.
 
Katika hali inayoonyesha usanii mkubwa wa uongozi chini ya Mwenyekiti Mbowe, Aliyewahi kuwa mhariri wa gazeti la Tanzania Daima ndugu Absolom Kibanda, ameongea...
Huyo Kibanda ni mjinga mkubwa.

Kuweka kumbukumbu sawa tu hapa JF.

1. Mchakato wa kuteua wabunge wa viti maalum ndani ya Chadema ni mrefu sana, uko wazi na uko kikatiba, sahihi pekee ya katibu mkuu haiwezi kuhalalisha chochote ikiwa huo utaratibu haukufanyika.

2. Mchakato wa tume ya uchaguzi kuidhinisha majina ya wateule wa viti maalum kutoka chama husika ni mrefu na umekaa kisheria kwa 100%, hakuna namna Covid 19 wangeweza kuufuata katika mazingira yalivyokuwa. (Kuna mbunge mmoja wa Covid 19 alitolewa gerezani usiku usiku kwa amri ya Magufuli na asubuhi yake akaapishwa)

3. Mchakato wa kuapisha wabunge uko kisheria na umejaa protokali nyingi. Hakuna namna Covid 19 wangeweza kuapishwa kisheria kwa namna mazingira yalivyokuwa. (Covid 19 waliapishwa kwenye garage nje ya ukumbi wa bunge, wakati huo bunge halikuwa na kikao, kwa mchongo wa dharula)

4. Kuweza kughushi saini ya Katibu Mkuu wa Chadema (Mnyika) haihitaji kwanza kuwa mjumbe wa Sekretarieti ya Chadema, hata ukiwa muuza chapati manzese unaweza kufanya hivyo. Kwa kifupi muhuni yoyote anaweza kufanya hivyo, Cheo cha mtu hakina mantiki yoyote na wala hakina uzito wa kuhalalisha au kuweka uzito wa chochote cha kughushi.
 
Watu wanahoji kuwa iweje chini ya uongozi wa Mbowe kunatokea uhuni mkubwa kwenye sekretariat halafu hakuna uchunguzi wala hatua zozote kuchukuliwa?. Je ni reforms zipi Mbowe atazileta kama anashindwa kusafisha sehretariat yake?.
It is an open secret kwamba wale wamama 19 walipata baraka zote kutoka kwa Uongozi wa juu kabisa wa Chama. Hizi siasa ni biashara na maisha ya baadhi ya watu ndani ya chama yalikuwa lazima yaendelee

Hili nalo litafumuka tu kabla ya tarehe 21 January 2025 au baada tu ya Bunge kuwa adjourned kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu
 
Huyo Kibanda ni mjinga mkubwa.
Kuweka kumbukumbu sawa tu hapa JF.

1. Mchakato wa kuteua wabunge wa viti maalum ndani ya Chadema ni mrefu sana, uko wazi na uko kikatiba, sahihi pekee ya katibu mkuu haiwezi kuhalalisha chochote ikiwa huo utaratibu haukufanyika.

2. Mchakato wa tume ya uchaguzi kuidhinisha majina ya wateule wa viti maalum kutoka chama husika ni mrefu na umekaa kisheria kwa 100%, hakuna namna Covid 19 wangeweza kuufuata katika mazingira yalivyokuwa. (Kuna mbunge mmoja wa Covid 19 alitolewa gerezani usiku usiku kwa amri ya Magufuli na asubuhi yake akaapishwa)

3. Mchakato wa kuapisha wabunge uko kisheria na umejaa protokali nyingi. Hakuna namna Covid 19 wangeweza kuapishwa kisheria kwa namna mazingira yalivyokuwa. (Covid 19 waliapishwa kwenye garage nje ya ukumbi wa bunge, wakati huo bunge halikuwa na kikao, kwa mchongo wa dharula)

4. Kuweza kughushi saini ya Katibu Mkuu wa Chadema (Mnyika) haihitaji kwanza kuwa mjumbe wa Sekretarieti ya Chadema, hata ukiwa muuza chapati manzese unaweza kufanya hivyo. Kwa kifupi muhuni yoyote anaweza kufanya hivyo, Cheo cha mtu hakina mantiki yoyote na wala hakina uzito wa kuhalalisha au kuweka uzito wa chochote cha kughushi.
Mkuu kigaila na Mwalimu wake zao na mahawara (Agnesta lambert na Esther Matiko) waliapishwa ubunge ina maana mke anafanya process zote hizo mme hajui? Kama walijua mapema kwanini wasingeifikisha CC ili wachukuliwe hatua?

Mimi naamini kabisa hata kama CCM iliandaa huu mpango ila top cream ya chadema walifahamu kilichokua kinaendelea ila wakajikausha.

Lissu ukishinda anza na kigaila afanyiwe interrogation kali mpaka aeleze nani aliwatuma
 
It is an open secret kwamba wale wamama 19 walipata baraka zote kutoka kwa Uongozi wa juu kabisa wa Chama. Hizi siasa ni biashara na maisha ya baadhi ya watu ndani ya chama yalikuwa lazima yaendelee

Hili nalo litafumuka tu kabla ya tarehe 21 January 2025 au baada tu ya Bunge kuwa adjourned kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu

Aibu kubwa sana hii.

Natamani Lissu alisanue hili jambo, kama Mbwai iwe mbwai!. All gloves must be off!
 
Huu mgogoro ni mkubwa kuliko Watu wanavyoutafsiri na ulianza tangu Mbowe amlete Nyalandu Chadema

January yatasikika mambo yatakayowashangaza wengi Kwa sababu Dr Mashinji na Patrobas Katambi wanajua mambo mengi sana
Ya kumleta Nyalandu, sawa.
Je ya kumleta Lowasa mbona huwaga hamuiongelei?
 
Katika hali inayoonyesha usanii mkubwa wa uongozi chini ya Mwenyekiti Mbowe, Aliyewahi kuwa mhariri wa gazeti la Tanzania Daima ndugu Absolom Kibanda, ameongea na Watanzania kupitia katika mtandao wa Clubhouse kuwa Kuna watu ndani ya sekretariat ya CHADEMA walifanya uhuni na kughushi saini ya Katibu mkuu Mnyika na kupeleka majina ya akina mama 19 katika mamlaka za serikali ili wawe wabunge.

Katika maelezo yake, Kibanda alimtetea Katibu Mkuu Mnyika kuwa hahusiki na ishu hiyo ila alizunguukwa na wahuni wachache ndani ya sekretatiat kwenye ishu hiyo.

Ifahamike kuwa miongoni mwa wanaouunda Sekreatariat ya CHADEMA ni manaibu makatibu wakuu wawili wa Bara (Benson Kigaila) na yule wa Zanzibar (Salum Mwalimu). Wote hawa wake/wapenzi wao ni miongoni mwa hao akina mama 19. Hata hivyo Kibanda hakutaja jina la yeyote kati ya hao kuwa ndiyo wanahusika.

Wiki iliyopita ndugu Lissu aliulizwa kuhusu wajumbe hao wa sekretariat kuwa na mke/wapenzi katika wale akina mama 19 walioingia bungeni kimagumashi, kwamba kwa nini wasiwekwe pembeni. Lissu akajibu kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha katiba ya chama. Akasema kuwa kwenye chama mtu haingii kama bibi na bwana, bali kila mtu anaingia yeye kama yeye. Akasema kwa mujibu wa kanuni na katiba ya chama, mtu hawezi kuadhibiwa eti kwa sababu mke/mpenzi wake amekikosea chama.

Watu wanahoji kuwa iweje chini ya uongozi wa Mbowe kunatokea uhuni mkubwa kwenye sekretariat halafu hakuna uchunguzi wala hatua zozote kuchukuliwa? Je, ni reforms zipi Mbowe atazileta kama anashindwa kusafisha sehretariat yake?. Ifahamike kuwa dhamana ya kutengeneza sekretariat iko mikononi mwa Mwenyekiti. Kwa nini hasafishi sekretariat yake?
Amelamba asali
 
Huyo Kibanda ni mjinga mkubwa.

Kuweka kumbukumbu sawa tu hapa JF.

1. Mchakato wa kuteua wabunge wa viti maalum ndani ya Chadema ni mrefu sana, uko wazi na uko kikatiba, sahihi pekee ya katibu mkuu haiwezi kuhalalisha chochote ikiwa huo utaratibu haukufanyika.

2. Mchakato wa tume ya uchaguzi kuidhinisha majina ya wateule wa viti maalum kutoka chama husika ni mrefu na umekaa kisheria kwa 100%, hakuna namna Covid 19 wangeweza kuufuata katika mazingira yalivyokuwa. (Kuna mbunge mmoja wa Covid 19 alitolewa gerezani usiku usiku kwa amri ya Magufuli na asubuhi yake akaapishwa)

3. Mchakato wa kuapisha wabunge uko kisheria na umejaa protokali nyingi. Hakuna namna Covid 19 wangeweza kuapishwa kisheria kwa namna mazingira yalivyokuwa. (Covid 19 waliapishwa kwenye garage nje ya ukumbi wa bunge, wakati huo bunge halikuwa na kikao, kwa mchongo wa dharula)

4. Kuweza kughushi saini ya Katibu Mkuu wa Chadema (Mnyika) haihitaji kwanza kuwa mjumbe wa Sekretarieti ya Chadema, hata ukiwa muuza chapati manzese unaweza kufanya hivyo. Kwa kifupi muhuni yoyote anaweza kufanya hivyo, Cheo cha mtu hakina mantiki yoyote na wala hakina uzito wa kuhalalisha au kuweka uzito wa chochote cha kughushi.
Umeandika uharo mtupu.
 
Back
Top Bottom