Pre GE2025 Absolom Kibanda: Sekretariat ya CHADEMA inahusika na Wabunge 19 wa viti maalum CHADEMA

Pre GE2025 Absolom Kibanda: Sekretariat ya CHADEMA inahusika na Wabunge 19 wa viti maalum CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi sio kuwa naichukia Chadema, ila kutegemea mapinduzi ya kweli chini ya Mbowe ni kupoteza muda. Mbowe yeye huwaza pesa tu, yuko tayari hata aende gerezani kuzuga na kuwa chota akili wafuasi wake, chadema kwake ni biashara, kipato. Hizo zote za covid 19 ilikuwa ni zuga tu, ohh serikali u dictator, ohh msajiri wa vyama kwapeleka, ohh hatuwa tambui, blablabla kibao, at the end yeye ana piga pesa. Shikamoo Mbowe, wajinga ndo waliwao.
Hakika !
 
Mkuu kigaila na Mwalimu wake zao na mahawara (Agnesta lambert na Esther Matiko) waliapishwa ubunge ina maana mke anafanya process zote hizo mme hajui? Kama walijua mapema kwanini wasingeifikisha CC ili wachukuliwe hatua?

Mimi naamini kabisa hata kama CCM iliandaa huu mpango ila top cream ya chadema walifahamu kilichokua kinaendelea ila wakajikausha.

Lissu ukishinda anza na kigaila afanyiwe interrogation kali mpaka aeleze nani aliwatuma
Kigaila amekaa kitapeli na kichawi kabisa
 
Katika hali inayoonyesha usanii mkubwa wa uongozi chini ya Mwenyekiti Mbowe, Aliyewahi kuwa mhariri wa gazeti la Tanzania Daima ndugu Absolom Kibanda, ameongea na Watanzania kupitia katika mtandao wa Clubhouse kuwa Kuna watu ndani ya sekretariat ya CHADEMA walifanya uhuni na kughushi saini ya Katibu mkuu Mnyika na kupeleka majina ya akina mama 19 katika mamlaka za serikali ili wawe wabunge.

Katika maelezo yake, Kibanda alimtetea Katibu Mkuu Mnyika kuwa hahusiki na ishu hiyo ila alizunguukwa na wahuni wachache ndani ya sekretatiat kwenye ishu hiyo.

Ifahamike kuwa miongoni mwa wanaouunda Sekreatariat ya CHADEMA ni manaibu makatibu wakuu wawili wa Bara (Benson Kigaila) na yule wa Zanzibar (Salum Mwalimu). Wote hawa wake/wapenzi wao ni miongoni mwa hao akina mama 19. Hata hivyo Kibanda hakutaja jina la yeyote kati ya hao kuwa ndiyo wanahusika.

Wiki iliyopita ndugu Lissu aliulizwa kuhusu wajumbe hao wa sekretariat kuwa na mke/wapenzi katika wale akina mama 19 walioingia bungeni kimagumashi, kwamba kwa nini wasiwekwe pembeni. Lissu akajibu kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha katiba ya chama. Akasema kuwa kwenye chama mtu haingii kama bibi na bwana, bali kila mtu anaingia yeye kama yeye. Akasema kwa mujibu wa kanuni na katiba ya chama, mtu hawezi kuadhibiwa eti kwa sababu mke/mpenzi wake amekikosea chama.

Watu wanahoji kuwa iweje chini ya uongozi wa Mbowe kunatokea uhuni mkubwa kwenye sekretariat halafu hakuna uchunguzi wala hatua zozote kuchukuliwa? Je, ni reforms zipi Mbowe atazileta kama anashindwa kusafisha sehretariat yake?. Ifahamike kuwa dhamana ya kutengeneza sekretariat iko mikononi mwa Mwenyekiti. Kwa nini hasafishi sekretariat yake?


Uadilifu unatakiwa kuanzia ndani ya chama kabla ya kushika dola.


Uovu wa CCM na serikali yake ulianzia ndani ya chama taratibu na ukawa ni mfumo wa mafisadi na ukazieleka.

Sasa Chadema ikimrudisha Mbowe kwa maslahi ya wajumbe wachache basi ni wazi kuwa Chadema imefeli sana na itakua ndio mwisho wa chama hicho kuaminiwa .

CCM pamoja na uhuni wake lakini wakahakikisha Mwenyekiti hakai madarakani zaidi ya miaka kumi na hawajawahi kubadili katiba kwa ajili ya maslahi binafsi.
 
Mkuu kigaila na Mwalimu wake zao na mahawara (Agnesta lambert na Esther Matiko) waliapishwa ubunge ina maana mke anafanya process zote hizo mme hajui? Kama walijua mapema kwanini wasingeifikisha CC ili wachukuliwe hatua?

Mimi naamini kabisa hata kama CCM iliandaa huu mpango ila top cream ya chadema walifahamu kilichokua kinaendelea ila wakajikausha.

Lissu ukishinda anza na kigaila afanyiwe interrogation kali mpaka aeleze nani aliwatuma


CCM hawahusiki kwenye huu usanii.


Wabunge 19 kila mmoja akipeleka laki tano ni ml. 9.5 kwa mwezi .
Mbowe alitengeneza mfumo mbaya sana unapendekeza na kurasimisha ruswa
 
Katika hali inayoonyesha usanii mkubwa wa uongozi chini ya Mwenyekiti Mbowe, Aliyewahi kuwa mhariri wa gazeti la Tanzania Daima ndugu Absolom Kibanda, ameongea na Watanzania kupitia katika mtandao wa Clubhouse kuwa Kuna watu ndani ya sekretariat ya CHADEMA walifanya uhuni na kughushi saini ya Katibu mkuu Mnyika na kupeleka majina ya akina mama 19 katika mamlaka za serikali ili wawe wabunge.

Katika maelezo yake, Kibanda alimtetea Katibu Mkuu Mnyika kuwa hahusiki na ishu hiyo ila alizunguukwa na wahuni wachache ndani ya sekretatiat kwenye ishu hiyo.

Ifahamike kuwa miongoni mwa wanaouunda Sekreatariat ya CHADEMA ni manaibu makatibu wakuu wawili wa Bara (Benson Kigaila) na yule wa Zanzibar (Salum Mwalimu). Wote hawa wake/wapenzi wao ni miongoni mwa hao akina mama 19. Hata hivyo Kibanda hakutaja jina la yeyote kati ya hao kuwa ndiyo wanahusika.

Wiki iliyopita ndugu Lissu aliulizwa kuhusu wajumbe hao wa sekretariat kuwa na mke/wapenzi katika wale akina mama 19 walioingia bungeni kimagumashi, kwamba kwa nini wasiwekwe pembeni. Lissu akajibu kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha katiba ya chama. Akasema kuwa kwenye chama mtu haingii kama bibi na bwana, bali kila mtu anaingia yeye kama yeye. Akasema kwa mujibu wa kanuni na katiba ya chama, mtu hawezi kuadhibiwa eti kwa sababu mke/mpenzi wake amekikosea chama.

Watu wanahoji kuwa iweje chini ya uongozi wa Mbowe kunatokea uhuni mkubwa kwenye sekretariat halafu hakuna uchunguzi wala hatua zozote kuchukuliwa? Je, ni reforms zipi Mbowe atazileta kama anashindwa kusafisha sehretariat yake?. Ifahamike kuwa dhamana ya kutengeneza sekretariat iko mikononi mwa Mwenyekiti. Kwa nini hasafishi sekretariat yake?
Si usaniii Mzee ukiwa mwasiasa unaangalia uhai wako na maisha Yako pia, Dola inaweza amua chochote juu Yako so ni wewe uamue kusuka au kunyoa,ogopa
1.Mungu.
2.Serikali
3.Njaa
 
Hapo kwa wapenzi iko wazi, Salum Mwalimu kamfanya Ester Matiko kama mke wake, ni umalaya na uchafu mtupu..!!
 
Back
Top Bottom