Pre GE2025 Absolom Kibanda: Sekretariat ya CHADEMA inahusika na Wabunge 19 wa viti maalum CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na Ndugai akamfichia siri kwa sababu anaipenda sana Chadema? Wakati mwingine muwe na aibu.

Amandla...
 
Akili zimewarudi sasa ee?

Mbona haya tulikuwa tunawaambia kila siku mkawa mnatuita sukuma gang?
Dah acha tu, huyu tapeli wa kichagga tulimuamini sana hatukujua ni mjasiriamali wa kisiasa
 
Nimesoma hadi hapo kwenye jina la Benson Kigaila nikaishia hapo, nikaamua kuendelea na shuhuli zingine.
Adios.
 
K
Kwa hivyo walimwambia Tulia asiwatoe bungeni? Mahakamani jee pia kamati kuu iliwaambia majaji? Hii cloud house ndio ilimbobomoa Lissu akili. Maria sio mtu mwema kabisa
Team Lisu hawaelewi wao wanataka Lisu awe Mwenyekiti hata kama hatoshinda, ukiwauliza maswali, hawakupi majibu, ila watakwambia Lisu kasema...!

Yani vijana wenye mihemko, wamejijaza mitandaoni kuandika chochote kile. Sasa hivi wako desparate sana, hawatumii uwezo wao kuchambua hoja tena, kila kitu Lisu Kasema.
 
Ccm imejaa mapumbavu ndio maana bila polis hata kitongoji hampati.
 
Inazidi kunyesha.
 
Chama kinatoa usaha

Kimeoza
 
Mbowe sio mjinga aache hela za kina mama 19 kisa Lissu. Hao kina mama wakimkatia 1m kila mwezi tayari anakunja 19m kwa mwezi. Ikumbukwe wabunge wote wa CHADEMA huwa wanakatwa kiasi fulani kwenye mishahara yao kukisaidia chama (Mbowe).
Corrupt
 
Ccm imejaa mapumbavu ndio maana bila polis hata kitongoji hampati.
Vipanga wa Team Lisu, mnashinda kila siku kila kitongoji mnaongoza nyie hahaha. Sijui mmerogwa na nani. Yani kila asiye kubaliana nayie kuhusu Lisu ni CCM.

Sioni sababu ya Lisu kuwa mwenyekiti chadema, aondoke na nyomi lake mkaanzishe chama huko.
 
Vipanga wa Team Lisu, mnashinda kila siku kila kitongoji mnaongoza nyie hahaha. Sijui mmerogwa na nani. Yani kila asiye kubaliana nayie kuhusu Lisu ni CCM.

Sioni sababu ya Lisu kuwa mwenyekiti chadema, aondoke na nyomi lake mkaanzishe chama huko.
Naona mchimba kisima kaingia mwenyewe

Yale mautumbo ya Tuhuma yooote sasa mbamalizana

Njooni in a future tunuse Makwaia yetu
 
Nani anamuamini Kibanda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…