Hakika !Mimi sio kuwa naichukia Chadema, ila kutegemea mapinduzi ya kweli chini ya Mbowe ni kupoteza muda. Mbowe yeye huwaza pesa tu, yuko tayari hata aende gerezani kuzuga na kuwa chota akili wafuasi wake, chadema kwake ni biashara, kipato. Hizo zote za covid 19 ilikuwa ni zuga tu, ohh serikali u dictator, ohh msajiri wa vyama kwapeleka, ohh hatuwa tambui, blablabla kibao, at the end yeye ana piga pesa. Shikamoo Mbowe, wajinga ndo waliwao.
YuKo sahihi sana tu.Huenda Kibanda yuko sahihi.
Kigaila amekaa kitapeli na kichawi kabisaMkuu kigaila na Mwalimu wake zao na mahawara (Agnesta lambert na Esther Matiko) waliapishwa ubunge ina maana mke anafanya process zote hizo mme hajui? Kama walijua mapema kwanini wasingeifikisha CC ili wachukuliwe hatua?
Mimi naamini kabisa hata kama CCM iliandaa huu mpango ila top cream ya chadema walifahamu kilichokua kinaendelea ila wakajikausha.
Lissu ukishinda anza na kigaila afanyiwe interrogation kali mpaka aeleze nani aliwatuma
Katika hali inayoonyesha usanii mkubwa wa uongozi chini ya Mwenyekiti Mbowe, Aliyewahi kuwa mhariri wa gazeti la Tanzania Daima ndugu Absolom Kibanda, ameongea na Watanzania kupitia katika mtandao wa Clubhouse kuwa Kuna watu ndani ya sekretariat ya CHADEMA walifanya uhuni na kughushi saini ya Katibu mkuu Mnyika na kupeleka majina ya akina mama 19 katika mamlaka za serikali ili wawe wabunge.
Katika maelezo yake, Kibanda alimtetea Katibu Mkuu Mnyika kuwa hahusiki na ishu hiyo ila alizunguukwa na wahuni wachache ndani ya sekretatiat kwenye ishu hiyo.
Ifahamike kuwa miongoni mwa wanaouunda Sekreatariat ya CHADEMA ni manaibu makatibu wakuu wawili wa Bara (Benson Kigaila) na yule wa Zanzibar (Salum Mwalimu). Wote hawa wake/wapenzi wao ni miongoni mwa hao akina mama 19. Hata hivyo Kibanda hakutaja jina la yeyote kati ya hao kuwa ndiyo wanahusika.
Wiki iliyopita ndugu Lissu aliulizwa kuhusu wajumbe hao wa sekretariat kuwa na mke/wapenzi katika wale akina mama 19 walioingia bungeni kimagumashi, kwamba kwa nini wasiwekwe pembeni. Lissu akajibu kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha katiba ya chama. Akasema kuwa kwenye chama mtu haingii kama bibi na bwana, bali kila mtu anaingia yeye kama yeye. Akasema kwa mujibu wa kanuni na katiba ya chama, mtu hawezi kuadhibiwa eti kwa sababu mke/mpenzi wake amekikosea chama.
Watu wanahoji kuwa iweje chini ya uongozi wa Mbowe kunatokea uhuni mkubwa kwenye sekretariat halafu hakuna uchunguzi wala hatua zozote kuchukuliwa? Je, ni reforms zipi Mbowe atazileta kama anashindwa kusafisha sehretariat yake?. Ifahamike kuwa dhamana ya kutengeneza sekretariat iko mikononi mwa Mwenyekiti. Kwa nini hasafishi sekretariat yake?
Mkuu kigaila na Mwalimu wake zao na mahawara (Agnesta lambert na Esther Matiko) waliapishwa ubunge ina maana mke anafanya process zote hizo mme hajui? Kama walijua mapema kwanini wasingeifikisha CC ili wachukuliwe hatua?
Mimi naamini kabisa hata kama CCM iliandaa huu mpango ila top cream ya chadema walifahamu kilichokua kinaendelea ila wakajikausha.
Lissu ukishinda anza na kigaila afanyiwe interrogation kali mpaka aeleze nani aliwatuma
Basi Mnyika ndio anajiponza mwenyewe. Kwanini asijiuzulu?Mbowe ni muhuni tu anamponza na kumharibia future jmyika
Maria space imemtoa akili mgombea Tl
Inavyoonyesha haukupata hata muda wa kujua uzi unahusu nini au nani anaejadiliwa hapa.K
Kwa hivyo walimwambia Tulia asiwatoe bungeni? Mahakamani jee pia kamati kuu iliwaambia majaji? Hii cloud house ndio ilimbobomoa Lissu akili. Maria sio mtu mwema kabisa
Inawezekana.Kama we ni kilaza huwezi kuelewa mambo yanayohitaji tafakuri
Kwenye siku zangu au?Upo kwenye siku
Uko sahihi kabisa kiongozi.Kwako inaweza kosa mashiko il kwa mwingine ikawa na mashiko ya dhahabu
Si usaniii Mzee ukiwa mwasiasa unaangalia uhai wako na maisha Yako pia, Dola inaweza amua chochote juu Yako so ni wewe uamue kusuka au kunyoa,ogopaKatika hali inayoonyesha usanii mkubwa wa uongozi chini ya Mwenyekiti Mbowe, Aliyewahi kuwa mhariri wa gazeti la Tanzania Daima ndugu Absolom Kibanda, ameongea na Watanzania kupitia katika mtandao wa Clubhouse kuwa Kuna watu ndani ya sekretariat ya CHADEMA walifanya uhuni na kughushi saini ya Katibu mkuu Mnyika na kupeleka majina ya akina mama 19 katika mamlaka za serikali ili wawe wabunge.
Katika maelezo yake, Kibanda alimtetea Katibu Mkuu Mnyika kuwa hahusiki na ishu hiyo ila alizunguukwa na wahuni wachache ndani ya sekretatiat kwenye ishu hiyo.
Ifahamike kuwa miongoni mwa wanaouunda Sekreatariat ya CHADEMA ni manaibu makatibu wakuu wawili wa Bara (Benson Kigaila) na yule wa Zanzibar (Salum Mwalimu). Wote hawa wake/wapenzi wao ni miongoni mwa hao akina mama 19. Hata hivyo Kibanda hakutaja jina la yeyote kati ya hao kuwa ndiyo wanahusika.
Wiki iliyopita ndugu Lissu aliulizwa kuhusu wajumbe hao wa sekretariat kuwa na mke/wapenzi katika wale akina mama 19 walioingia bungeni kimagumashi, kwamba kwa nini wasiwekwe pembeni. Lissu akajibu kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha katiba ya chama. Akasema kuwa kwenye chama mtu haingii kama bibi na bwana, bali kila mtu anaingia yeye kama yeye. Akasema kwa mujibu wa kanuni na katiba ya chama, mtu hawezi kuadhibiwa eti kwa sababu mke/mpenzi wake amekikosea chama.
Watu wanahoji kuwa iweje chini ya uongozi wa Mbowe kunatokea uhuni mkubwa kwenye sekretariat halafu hakuna uchunguzi wala hatua zozote kuchukuliwa? Je, ni reforms zipi Mbowe atazileta kama anashindwa kusafisha sehretariat yake?. Ifahamike kuwa dhamana ya kutengeneza sekretariat iko mikononi mwa Mwenyekiti. Kwa nini hasafishi sekretariat yake?
Basi Mnyika ndio anajiponza mwenyewe. Kwanini asijiuzulu?
Kwahiyo akaendelea kukaa na waovu ila yeye sio muovu kwasababu "alikataliwa" kujiuzulu sio? Nshakupata akili kubwa!Tetesi ni kuwa Mnyika ashawahi kuandika barua ya kujiuzulu huko nyuma mwenyekiti akakataa